Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,985
- 95,516
.....ni hivi
ardhi inaweza kukufanya uote hizo ndoto, yaani mazingira ya hapo unapo lala,
nitafupisha kidogo.
tutaenda omba toba juu ya ardhi au eneo unalo kaa,
Mungu ninaoma toba kwa yote niliyo kutenda kwa kujua au kutokujua na kwa kutotimiza yanipasayo, unisafishe kwa damu ya Yesu, naleta familia yangu pia utusamehe ututakase kwa damu ya Yesu.
[HASHTAG]#tutaiweka[/HASHTAG] wakfu ardhi kwaajili ya Bwana
kuna mawili unaweza mwaga damu ya Yesu katika hilo eneo umwambie MUngu alitakase hilo eneo na aliweke wakfu kwaajili yake
au tutaomba toba juu ya ardhi kutoka katika cha 2nyakati 7:14
ikiwa watu wangu, walio itwa kwa jina langu, watajinyenyekesha na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya,basi nitasikia toka ,mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao
## utaomba toba juu ya hiyo ardhi sasa ili Mungu aponye hiyo ardhi iliyo chini yako na pia mwambie Mungu hii ardhi ikaolewe na wewe, aimiliki yeye
2 nyakati 7:14
Ikiwa watu wangu walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya ; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.