Nasumbuliwa na ndoto za mapenzi

dada yangu hilo ni jini mahaba bila chenga, nachokushauri kimbia kanisani haraka ukafanyiwe maombi na kutakaswa kwa damu ya Yesu, utakuwa huru na utashangaa unakuwa mpya. Yaani hata ikiwezekana nenda hata leo kwenye kanisa lolote la kiroho au karsmatiki wanajua kushughulika na roho zote chafu harakisha ukichelewa hilo pepo mahaba litakutesa sana. Ubarikiwe
 
yaan unakataa zinaaa unaruhusu uchumba sugu jmn nyie muogopeni allah kwan si ndo nyie huwa mnabariki ndo baada ya watu kuzini mpaka na watoto mnawapata hlf leo unatuambiaje hapa!
Nimeruhusu uchumba sugu Kiaje? ? Wapi? ?? Wapi pameandikwa uchumba wa muda mrefu ni dhambi, Kwa vigezo gani,? Hatushauri uchumba muda mrefu kibinadamu but Kama wahusika wanaona hawajasomana vizuri utawalazimisha waoane? Stop generalising things, kama kuna wanaoishi kwanza hadi kupata watoto then wakabariki Ndoa ni wao na maamuzi yao, it doesn't happen to everyone. haijawa sheria ya Ndoa na sijawahi kuona maandiko yanayosema hivyo, ni sisi binadamu na njia zetu za upotevu and yes kama kondoo waliopotea tunarudishwa zizini kwa neema ya Mungu
 
Huyo ni spiritual wife, ambaye huleta mikosi hata kifo. Yana wivu uliopitiliza, hata ukioa lazima uachane naye au ukioa utakua huna uwezo wa kumpa mimba mwanamke. Au pia jogoo kushindwa kuwika.
DAWA:
1. Kaombewe na mtu wa Mungu aliyepakwa mafuta halisi kwa damu ya YESU.
2. Funga na kusali
3. Acha tabia ya kutazama ngono ukiwa peke yako
4. Fanya mazoezi
5. Ni vema uoe lakini kwanza timiza hizo 1 - 4
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom