Sanja
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 499
- 223
Enzi zetu tulilemazwa kwa kurubuniwa kuwa, eti vijana ni Taifa la KESHO
afu ukija kushituka mvi mpaka kwenye ndevu,kuanzia hapo wanaanza kukuita kijana wa jana na hauna jipya. Hii misemo ya kupiga vita sana.