WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
Chadema na Falsafa ya Kuzomea! Ujinga ndani ya Wajinga!
Changia mada wewe acha kujibu ovyo kama umekatwa kichwa
Chadema na Falsafa ya Kuzomea! Ujinga ndani ya Wajinga!
mhh Mwanza International airport!!!
Nyambala,
Uwanja una uzio? kwa nini mifugo inalisha pale? - Kwani ule wa Dar ukiingiza ng'ombe unafikiri hawatakula zile nyasi around?
Je unajua wananchi wa Igombe wanakatisha Uwanjani kwenda makwao, kiusalama ni sawa? - Mpaka miaka ya mwanzoni na ktkt mwa 90's watu walikuwa wanakatiza uwanja wa DIA.
Unajua ni njia moja tuu ya ndege kupaa na kutua? - Hata uwanja wa DIA ulikuwa hivyo zamani na bado ukaitwa international airport
Unajua ule uwanja ni wa jeshi? - Of course ulikuwa, kwa sasa siyo!
Unajua pale hata watu hamsini hawawezi kukaa katika viti kwa wakati mmoja, halafu AC haifanyi kazi? - Sawa kabisa, nadhani mkuu usiombe ufike Ndjamena
Unazifahamu vizuri shule za kata, zimejengwa kuridhisha tu watunzania ila si kweli kwamba ni kwa dhati ya kukuza elimu tanzania.
Ndio uwanja wa mwanza ulivyo. - Sio kwamba mahitaji ndiyo yaliufanya uboreshwe?
Blaza!! kanda ya kusini wana mkondo wa Gas na mafuta,chuma na makaa ya mawe,siyo bling bling..Hebu angalia wanavyoonewa,Naona vijana wa Nape kwenye thread hii hawajatia pua maana ukiangalia ki uhalisia mpaka wao moyoni inawachoma!
Anywayz mkuu kifupi ni kwamba usafiri wa anga Tz bado sana hata ile airport ya Dar haina hadhi ya kuwepo ndani ya jiji lenye watu 5 million. Nakubaliana na wewe uwanja ule unahitaji kuboreshwa na hasa lile jengo. Lakini masuala ya ndege mfano BA au KLM, Emirates kutua pale hata kwa sasa wanaweza lakini je kuna mahitaji? Kumbuka hizo ndege sio kwamba hazitui Mza kwa sababu ya uwanja. Wale ni wafanya biashara kukiwa na mahitaji watakuja tu. Hawasubiri serikali iwaambie au kuwapangia. In that respect utakuta ndege kama Lufthansa, Air France haziji tena Dar, si sababu ya uwanja.
Nyambala,
Uwanja una uzio? kwa nini mifugo inalisha pale?
Je unajua wananchi wa Igombe wanakatisha Uwanjani kwenda makwao, kiusalama ni sawa?
Unajua ni njia moja tuu ya ndege kupaa na kutua?
Unajua ule uwanja ni wa jeshi?
Unajua pale hata watu hamsini hawawezi kukaa katika viti kwa wakati mmoja, halafu AC haifanyi kazi?
Unazifahamu vizuri shule za kata, zimejengwa kuridhisha tu watunzania ila si kweli kwamba ni kwa dhati ya kukuza elimu tanzania.
Ndio uwanja wa mwanza ulivyo.
Yote uliyoongea ni kweli kabisa, licha ya rasilimali zote hizo za kanda ya ziwa hakuna maendeleo yoyote ya maana...
Tatizo la watu wa kanda ya ziwa ni kukosa upendo kwa ndugu zao. Huwezi kuamini kijiji anachotokea msemaji mkuu wa ikulu ndugu Salva Rweyemamu hakufikiki kwa barabara,ni njia za baiskeli wala hawana mpango wa kujenga barabara si leo wala kesho. Anapotokea ndugu Dr mwl.Azavel Rweitama hamna huduma yoyote ya kijamii tofauti na kanisa la kikatoliki na msikiti mdogo na maduka kama 7 pamoja na gulio la kila jumapili tu. Ukienda kwa prof Mukandara,makamu mkuu wa chuo cha UDSM hamna hata hospitali,kuna sekondari za kata kama mbili au tatu ambapo mtoto utembea kilometre12 kwenda na kurudi nyumbani kwa mguu au mwenye uwezo ana mountbike,kule kwa magufuli watu wanajivunia aidha kuwa wawindaji au wafugaji, Anapotokea ndugu Kagasheki kuna uafadhali mana kuna maji,umeme,lami na kiwanda kichakavu cha CocaCola na uwanja wa ndege mithili ya kipande cha barabara pale bukoba mjini. Kwa prof.Ana Tibaijuka ndo kumefulia na hata hamna cha kujivunia,kule kwa dr.Kamara hata hakutamaniki,nakuhakikishia chakula kikuu ni viazi vitamu na maharage,ndizi hamna kwa kuwa kule hali ya udongo ni mbaya na migomba ukua kwa kimo cha mwanadamu. Kule hamna barabara,hamna centre,hamna hospitali,hawategemei kuwa na umeme kwa miaka ya uhakika10 ijayo huko kunaitwa Rushwa. Hiyo si utani ni jina la tarafa tangu miaka ya60. Kagera hamna chuo kikuu wala Technical school,watu wakimaliza form6 inawabidi waje mwanza au dsm! Shule pekee imayoweza na kwa miaka yote imewatoa wasomi wa kiume kanda ya ziwa ni Rubya Seminari,shule iyo haina mshindani hata mmoja,nakuhakikishia kuwa 95% haliye juu ktk utawala wa taifa ili,wahadhiri,mapdre,madiwani,wanasheria na wahasibu ni wa shule iyo. Sijagusia mwanza,shinyanga ,mara na Musoma,n.k. Sasa kwa hali kama iyo nani ataweza kusimama na kuijenga Kagera ikiwa ktk kanda ya ziwa? Kagera kuwa na wasomi wengi haina maana,ni sawa na Tanzania ilivo na raslimali nyingi na ni maskini. Wanakagera,mnaudhalilisha mkoa wenu!
Tatizo la watu wa kanda ya ziwa ni kukosa upendo kwa ndugu zao. Huwezi kuamini kijiji anachotokea msemaji mkuu wa ikulu ndugu Salva Rweyemamu hakufikiki kwa barabara,ni njia za baiskeli wala hawana mpango wa kujenga barabara si leo wala kesho. Anapotokea ndugu Dr mwl.Azavel Rweitama hamna huduma yoyote ya kijamii tofauti na kanisa la kikatoliki na msikiti mdogo na maduka kama 7 pamoja na gulio la kila jumapili tu. Ukienda kwa prof Mukandara,makamu mkuu wa chuo cha UDSM hamna hata hospitali,kuna sekondari za kata kama mbili au tatu ambapo mtoto utembea kilometre12 kwenda na kurudi nyumbani kwa mguu au mwenye uwezo ana mountbike,kule kwa magufuli watu wanajivunia aidha kuwa wawindaji au wafugaji, Anapotokea ndugu Kagasheki kuna uafadhali mana kuna maji,umeme,lami na kiwanda kichakavu cha CocaCola na uwanja wa ndege mithili ya kipande cha barabara pale bukoba mjini. Kwa prof.Ana Tibaijuka ndo kumefulia na hata hamna cha kujivunia,kule kwa dr.Kamara hata hakutamaniki,nakuhakikishia chakula kikuu ni viazi vitamu na maharage,ndizi hamna kwa kuwa kule hali ya udongo ni mbaya na migomba ukua kwa kimo cha mwanadamu. Kule hamna barabara,hamna centre,hamna hospitali,hawategemei kuwa na umeme kwa miaka ya uhakika10 ijayo huko kunaitwa Rushwa. Hiyo si utani ni jina la tarafa tangu miaka ya60. Kagera hamna chuo kikuu wala Technical school,watu wakimaliza form6 inawabidi waje mwanza au dsm! Shule pekee imayoweza na kwa miaka yote imewatoa wasomi wa kiume kanda ya ziwa ni Rubya Seminari,shule iyo haina mshindani hata mmoja,nakuhakikishia kuwa 95% haliye juu ktk utawala wa taifa ili,wahadhiri,mapdre,madiwani,wanasheria na wahasibu ni wa shule iyo. Sijagusia mwanza,shinyanga ,mara na Musoma,n.k. Sasa kwa hali kama iyo nani ataweza kusimama na kuijenga Kagera ikiwa ktk kanda ya ziwa? Kagera kuwa na wasomi wengi haina maana,ni sawa na Tanzania ilivo na raslimali nyingi na ni maskini. Wanakagera,mnaudhalilisha mkoa wenu!
Uwanja wa ndege wa mwanza haujawahi kuwa wa kimataifa hata kidogo licha ya kwamba kuna wakati midege mikubwa ya ulaya ilikuwa inatua kuchukua minofu ya samaki. Uwanja ule hauna hadhi ya kuwa wa kimataifa vinajulikana viwanja 2 tu vya kimataifa i.e. KIA na Dar. Mfuko wa cement mwanza unauzwa sh. 18,000 wakati pale dodoma unauzwa sh. 13,500. Kuna wakati serikali iliahidi kujenga kiwanda hicho mkoani shinyanga lakini kimya. Ukiacha SAUT, kanda ya ziwa haina chuo cha maana cha umma wala cha binafsi.