Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,146
- 79,300
duh hii kali babuGreatThinkers,
Ni kama wiki moja tuuu huyo jamaa yao kafungua barabara mpya pale Usagara Mwanza. Lakini Sehemu ya Feri kupaki na kupakia Magari ina SLOPE Kali kiasi kwamba hapatumiki, Ikipita inagusa mbele na nyuma hivyo inabaki hewani.Boti bado zinatia nanga sehemu ya ovyo ovyo ile ya zamani, wachina washasepa. Yeye kafungua!!
Vibanda vya kukatia tiketi vimewekwa upande wa Kulia barabara ya kutokea, ni UTUMBO mwingine am,bao hata yeye hakugundua. Mistakes ni kibao lakini ndiyo hivyo jamaa alisimikwa kwa bahati mbaya.
Si Si Em ni Uozo Mtupu!