Point yako ya pili ni kweli kabisa,kanda ya ziwa inakosa hata chuo kikuu 1 cha serikali kitu ambacho ni mkakati wa wazi wa viongozi wetu
Ni ajabu na kweli kanda yenye kuwa na ziwa kubwa barani Afrika,kanda yenye migodi mingi ya madini tokea mkoloni,kanda yenye idadi kubwa ya watu kupita kanda zote,kanda yenye hazina ya wasomi maarufu Duniani kote,kanda yenye kiasi kikubwa cha maji eti leo ukitaka kusoma upolisi,ujeshi,uhasibu,udaktari,uinjinia,chuo kikuu, unalazimika kusafiri kwenda pwani,kask n.k
Ndo maana CDM tunataka tuweke serikali za kanda ili kudecentralise madaraka na maamuzi yafanywe na serikali za kanda kuliko kuongoza kwa upendeleo,fitina na majungu kama ilivyo sasa
Inauma sana.
Kumbe unasikia.......Nasikia pia wengi wana mikono ya sweta...
2015/16?????????Kanda ya ziwa hakuna CCM tena ilishakufa baada ya uchaguzi.kwa mkoa wa shinyanga mbunge wa CCM ni Masele tu. wengine wanatumikia upinzani.
Tunasubiri 2014 tusimike serikali za mitaa zote CDM na UDP kwa Bariadi.Siku hizi hata sare za CCM wanavalia ukumbini hawana ubavu wa kutembea kifua mbele wanajua ni ngome ya CDM.
Siku hizi Shinyanga hakuna ugomvi wa kisiasa kwani CCM kilishageuka kuwa chama cha upinzani, chama tawala ni CDM, hilo liko wazi hata kwa wana-ccm wenyewe ndiyo maana hakuna vurugu
2015/16?????????
Sio kweli, mliunga mkono JPM kwa imani kuwa ni mwenzenu, inafahamika kulikuwa na kampeni za hovyo kabisa za kikabila kwa upande wa wabunge hapo Mwanza. Tunasubiri kuona miaka minne na ushehe hapo jijini "deriverence" ya akina Mabula! bahati nzuri utendaji huwa haufichiki, sijui 2020 kama watakuja tena na hiyo kete ya ukabila na "wizi wa kura"!Walipobadili gia angani wakabeba fisadi kuu sisi tulibadili gia aridhini tukamuunga mkono JPM.
Na matunda yake yako wazi.
Walilewa na serikali za mitaa maana sema kweli asilimia kubwa ni chadema tupu ila upepo ulichange miezi mitatu ya mwisho
Hatukubahatisha mkuu, hesabu ni lazima kwa kila mpiga kura.Doz Ishaingia, saivi vyuo karibia vyote ndani ya nyumba
Endeleeni kujichanganya ila it's too late to weep.Sio kweli, mliunga mkono JPM kwa imani kuwa ni mwenzenu, inafahamika kulikuwa na kampeni za hovyo kabisa za kikabila kwa upande wa wabunge hapo Mwanza. Tunasubiri kuona miaka minne na ushehe hapo jijini "deriverence" ya akina Mabula! bahati nzuri utendaji huwa haufichiki, sijui 2020 kama watakuja tena na hiyo kete ya ukabila na "wizi wa kura"!
Lete hoja tujadili hoja, kama unajua hili wengine tunajua lile!Endeleeni kujichanganya ila it's too late to weep.
Unataka kuletewa kitabu kizima ndo utakielewa kama ukurasa mmoja umekutoa jasho?Lete hoja tujadili hoja, kama unajua hili wengine tunajua lile!
OP!Unataka kuletewa kitabu kizima ndo utakielewa kama ukurasa mmoja umekutoa jasho?