Nasikia kuna degree za "chupi"

Jamani wana jf naomba mnisaidie katika hili,juzi katika pita pita zangu nilikuta watu wakizungumzia kuhusu degree ambazo wanachuo huzipata huko wanakoita chuo kikuu.
Sikuelewa pale nilipomsikia mmoja wa wachangiaji wa ile mada akisema "kwani siku hizi ni degree basi!,ni degree za chupi tu"kwa sababu nilikuwa nasubiri gari sikuweza kumuelewa anamaanisha nini,hebu wewe nisaidie kama unaelewa
Asante!
Mmh
 
Back
Top Bottom