we chupi::::hauna hesima kwanza anza na salamu kwanza we ni member mpya humu janvini inaonekana hauna heshima hata kwa wazazi wako
Zinaitwa STD's yani Sexually Transmited Degrees!
degree za chupi zinamaanisha mabinti wameenda kusoma chuo lakini uwezo wao ni mdogo ila wamebebwa na waalimu wao kwa kutembea nao wakawa wanapewa mitihani,test na kupewa maksi nzuri mtindo huu nasikia upo sana IFM,CBE,UDSM
Kwa usomaji wangu wa miaka zaidi ya 2 UDSM ni rare cases hizo, kwakuona kabisa saint Johns university Dodoma test walimu wanauwauzia na kuwapa wanafunzi wao. Mfano dhahiri ni kwa wale wanaosoma Bachelor ya nursing hupewa kuanzia test hadi UE. Kwa wale wanaosoma educations nao wala ni kitu cha kawaida saaaana kuwakuta wakiwa wana discuss test ama UE itakayofanyika siku inayofuatia. Kwa taarifa yenu tu wanajamvi wengi wanaosoma bachelor ya nursing st john ni wa mama wanaotokea kazini kwao na hutumia pesa wanazopata kuwapangishia vijana ambao ni bright kwa lengo lakuwa wanasovia tests na paper zao humo chumbani.
Mleta thread uko sawa lakini kiasi kikubwa hapo UDSM, st john bwana mwisho wa matatizo
hii kali kaka!
Umeipata wapi?
Yani degree chupi, kazini chupi, lifti chupi, hata ukitaka salary nayo itakuwa chupi tu!
Chupi system!
Manina,teh teh teh,hapo umeua Mkuu.