pole Lyimo kwa kutafakari sana juu ya huu waraka...naomba ufikishe UJUMBE huu ili watambue CCM siyo chama cha MAIGIZOGreenstar, ikifika 2015 tutakukumbusha kuhusu huu waraka wako uusome wewe mwenyewe. Usifiche kicwa kwenye kichaka wakati kiwiliwili chote kipo nje. Tafuta kijana wa darasa la nne atakuelewesha vizuri.