Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
hadi sasa hatuamini kama Igunga CDM ilishindwa ndiyo maana kesi ipo mahakamani si vizuri Kuingilia kesi zilizoko mahamani yasije yakamkuta ya Arusha tena au kwa sababu alisingizia kuumwa
Haya MANENO NI YAKO NA WALIOKUTUMA KUSEMA HAYA SIJAWAHI KUTAMKA MANENO HAYA, UWE NA AIBU WALAU KIDOGO KUZUSHA UONGO......
Sasa Igunga ndio Arumeru?
Katibu Mwenezi wa CCM,Nape Nnauye amekaririwa akidai kuwa kushindwa kwa CCM katika uchaguzi wa Ubunge wa Arumeru Mashariki kumetokana na hujuma.
Nape alikuwa akizungumza muda mfupi baada ya matokeo kutangazwa na Kagenzi na kuonyesha kuwa Joshua Nassari wa CHADEMA ameibuka mshindi.
Nape amedai kuwa kulikuwa na watu wasiokubalika kwenye jamii katika uchaguzi huo ambao ndio waliosababisha kushindwa kwa CCM.
Hata hivyo, Nape hakuwataja watu walioihujumu CCM uchaguzini.
Alisema kwa kuuliza: "Mbona Igunga hatukushindwa?'.
Alionekana amepagawa...
Alisema kwa kuuliza: "Mbona Igunga hatukushindwa?'.
Alionekana amepagawa...
Anamaanisha Lusinde hakubaliki katika jamii?