Nape nnauye ateuliwa kuwa d.c wa masasi!!!!
Jamani dada Shy-Rose Bangi asisahaulike jamani!
...ukuu wa wilaya ubaya ni kuteuliwa bila taarifa na kuachishwa bila majadiliano....
Kiukweli nafurahi kuona vijana wanapewa madaraka makubwa kwani Nape ataingia katika list ya maD.C vijana ninaowajua wakina isack fransis...Fatma Ally,Fatma Mwasa,Sophia Mjema,Erasto Sima na Halima wa kilosa...pia kuna yule dk Norman....wengine siwakumbuki....ila VIJANA HOYEEEEE!!
Jakaya hawezi kumuacha huyu atampa ubunge wake wa vile viti kumi!!
Nape nnauye ateuliwa kuwa d.c wa masasi!!!!
Jamani dada Shy-Rose Bangi asisahaulike jamani!