MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Hakuna hongera, CCM wote mafisadi tu, hakuna msafi ndani ya CCM, wote majambazi, october 31 hatudanganyiki, Slaa juu zaidi.
mtachonga sana
hongera kaka
Hili ni changa la macho la Kikwete kwa Nape. Dr. Slaa akitinga ikulu ifikapo Novemba mosi atafumua uteuzi wa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wote na wale mamistress wote watawekwa bench!!! Huu ni usanii wa hali ya juu ili awasaidie kukampeniNape nnauye ateuliwa kuwa d.c wa masasi!!!!
wakuu wa wilaya ni watu muhimu sana na wana fanya kazi nzito kuhimiza maendeleo vijijini wananchi wa vijijini wapo tofauti na nyinyi wa mijini...hawalimi hadi waambiwe limeni...hawapeleki watoto shuleni hadi watishiwe polisi....hawazai hospitali hadi watishiwe polisi...hizo ni baadhi ya kazi za mkuu wa wilaya..ujuwe mbunge hathubutu kuhimiza hilo kwani anaogopa kukosa kura...jua huyo mtu ni muhimu haswa vijijini!Ninafikiri akikubali hii nafasi, anajidhalilisha. Wewe unaonaje? After all, Ukuu wa Wilaya maana yake nini? Wilaya isipokuwa na Mkuu wa Wilaya inaathirika namna gani? Kuwa Mkuu wa Wilaya "is as good as useless, if one is being honest to him/herself".
Nape nnauye ateuliwa kuwa d.c wa masasi!!!!
NANI SASA ALIYECHONGA, WATU WAMEMPONGEZA KWA SABABU WANAMJUA NI MPIGANAJI WAKWELI NA HUWA ANASIMAMIA UKWELI SIKU ZOTE!
Nami nampongeza, kila laheri, aishi vizuri tu na ndugu zangu wa CUF maana naamini mwaka huu kusini yote yao!!
kuna haja ya kubadiri katiba, hapo jk kayabaka na kuyanajisi matumizi ya ofisi kwani yeye alitakiwa
asifanya jambo lolote la kiserikali, maana kwa sasa nchi haina raisi wala serikali
sasa kafanya hivy kama nani?????
Jamani dada Shy-Rose Bangi asisahaulike jamani!
Nape nnauye ateuliwa kuwa d.c wa masasi!!!!
Hebu tufafanulie hao vijana kwa umri lakini vikongwe ndio kina nani?Kwa uteuzi huu JK big up yaani kula tano, sasa kweli JK macho yako yameanza kuona na masikio yameanza kusikia, Ukisikia uteuzi uliofanya ndio uteuzi na si ule wa kuwabeba beba wanasiasa heti ni vijana wengine ni vijana kwa umri lakini kiakili ni vizee tu yaani havina msaada wowote kwako kutwa kukucheza shere.Kama karata JK umelamba Dume , kwa uteuzi huu nisipokupongeza hata nafsi yangu itanisuta
Kiranga,Hivi DC na mbunge hakuna redundancy hapo ?
Jakaya hawezi kumuacha huyu atampa ubunge wake wa vile viti kumi!!