Nape na Mwigulu naomba mnijibu...

Nashukuru sana, yakujifunza nayachukua nayaliyo wajibu wangu nitatekeleza na pale panapohitaji kusema kwenye vikao nitasema ukweli cos nisiposema watz watasema kwa kalamu. All in all tunapojadili Tanzania na vitu vinavyosababisha watanzania waendelee kuwa na hali mbaya tuko pamoja. Mtaamini tutakapokuwa tunaongelea katiba nawaomba watanzania rasilimali na uzalendo viwe msitari wa juu. Vyama vipo kwa sababu Tanzania ipo bila tanzania hakuna chama hata kimoja. Asanteni tutaendelea kubadilishana mawazo na mengine tuongee na kwa cm tupeane througj fb
 
ulukolokwitanga siku hazifanani na pia hata mapacha tabia hazifanani. Wana CCM nao hawafanani na inapokwepo tabia mbaya ya mtanzania mmoja haina maana watanzania wote ni majizi. Nayasema toka moyoni na ndio ninayoamini. Mifano inahitajika kwa wahalifu ili wengine waogope kucheza na mali za wavuja jasho

Wakuu mnaamini kuwa utulivu huu wa Mwigulu leo ni baadaya kurambwa na Dogo Janja?....Lema ameanza mfungo leo tu hali imekuwa hii,akimaliza je itakuwaje
 
Kwanza shukrani na heshima kwako Mwigulu, kwa kukubali huu mjadala. Mwenezi wenu akija hapa ni vijembe na kuondoka. Haya ndio matumizi mazuri ya technology, watu wengine kama mimi mikutano ya kina Lusinde hatuwezi kuja hata mtoe Lexus. Thanx for coming, Bravo for that.

Tukirudi kwenye mada, umeongea vizuri, tatizo letu kubwa hivi sasa ni kukosa uzalendo na kukithiri kwa ubinafsi. Swali kubwa la kujiuliza na kuwauliza ni je, hili tatizo lilikuwepo tangu uhuru? Kama halikuwepo, je limeanzaje, lini na nani kalileta? Baada ya hapo, tutaweza kujadili kuhusu jinsi la kulitoa.

TULIPOTOKA

Ukiangalia historia na mienendo ya wazee wetu wa kweli wa awamu ya kwanza e.g Kaduma, Nnauye Snr, Kawawa, Sokoine etc, utaona kitu kimoja in common, they were true patriots, walikuwa wazalendo kweli kweli. Waliamini katika kufanya mambo kwa manufaa ya watu wengi na nchi yao, the motherland, na sio kwa manufaa yao pekee, hawakuwa wabinafsi.

Wakati wa mjadala wa posho kupanda, kwenye kipima joto, Prof. Baregu alikuwa anasimulia jinsi walivyokuwa wanasafiri mpaka Ukerewe na sehemu nyingine zenye mazingira magumu kupeleka elimu ya watu wazima. Walifanya hivyo bila posho wala malipo ya ziada kwa sababu waliamini katika kujenga nchi yao, na hii ilikuwa reflected na tabia na mienendo ya viongozi wa juu. Watu walikuwa wazalendo kwa sababu walikuwa na viongozi wazalendo.

UZALENDO ULIISHAJE?
Tusaidiane katika hili.

TULIPO HIVI SASA

Tulipo hivi sasa ni uzalendo 0 ubinafsi 100. Hatuna viongozi wanaitumikia nchi yao, tutakuwaje na wananchi wanaoitumikia nchi yao? Mwigulu unajua uchafu uliopo serikalini ambao chama kinauangalia, unaujua! Tumeona mawaziri wakikwamisha miradi kwa sababu hawajapata nafasi ya kujipatia 10%. Najua unajua nini kilichelewesha mradi wa vitambulisho. Hakuna kiongozi mwizi anaefanya wizi peke yake, lazima ashirikiane na watu wa chini yake. Je huyu kiongozi anawafundisha nini hawa wafanyakazi wadogo? Hivi jiulize, mtu kama Blandina Nyoni, kama tuhuma zote ni za kweli, ana uwezo wa kuwakemea juniors wake na kuwafanya wafanye kazi kwa uzalendo? Je unataka kusema kuwa serikali ya CCM, pamoka na vyombo vyake vyote, haioni uchafu wote huu wa viongozi wake?

Ukweli ni kwamba haya mambo yanaumiza sana, ndio maana inafikia hatua mtu anasema bora jiwe kuliko CCM.
 
Wakuu mnaamini kuwa utulivu huu wa M

wigulu leo ni baadaya kurambwa na Dogo Janja?....Lema ameanza mfungo leo tu hali imekuwa hii,akimaliza je itakuwaje


Mkuu bila shaka humjui Mwigulu, huyu hakuwa political affiliated kama walivyo akina Nape (kulewa na siasa).Huyu ni Msomi mwenzetu na alikuwa mtendaji nje ya Chama hivyo ni rahisi kutambua madhaifu kuliko wale wateule ambao siasa kwao ni kubisha tu (na maanisha mavuvuzela).

We need more of them (mwigulu type) in the party ili kubadili mifumo hii yakina Shigella, Malisa, Millya na Babu yao Nape.Hawa kazi yao ni kufurahia vyeo tu vya Muenezi,Katibu Mkuu,Mwenyekiti na u..ch..a..f..u mwingine lakini output equals to zero. Hawa ndio wale badala ya kukibeba chama wao ndio chama kina wabeba mpaka kinataka kufa kwa uchovu.

Seriously i hate Nape na huyu ndiye atakaye saidia kukiingiza Chama kaburini. Hajui kuwa afya yake inaimalika kwa sababu ya nguvu zetu huyu.

Kabla CCM haijafa walahi wajiandae kutafuta Nchi ya kuishi na VX zao (mali zetu) asap.Tumechoka na kizazi hiki kisicho na meno wala uhalali wa kukisaidia chama zaidi ya kukinyonya.

Ngoja nilale zangu, wameniharibia siku hawa viumbe.
 
Mkuu wangu Shardcole, naomba tuache personal issues. Tanzania ni yetu wote (CHADEMA, CCM, TLP, UDP na wanachama wa vyama vingine vyote na wasio na vyama), naomba tuwape nafasi ndugu zetu Nape na Mwigulu watupe maoni yao toka moyoni mwao japo watilie maanani inputs zetu.

nakubali tanzania yetu sote (tlp, Dp, CDM etc) but sio na CCM.
Mkuu amini usiamini kuwa hawa watu CCM ni wabaya sna tena ni Mashetani kwa matendo yao kwani wapo radhi wapoteze gharama zinazotosha kujengea madawati kwa kumkomoa mtu mmoja, Mfano umeona taifa walivyoligawa kwa udini na ukabila mpak sasa, je hukumbuki hawa wakina mwigulu walivyomchafua baba wa watu slaa 2010 kwa personal issues? Hukumbuki na wala hujui wanchokifanya kwa wale wote wenye msimamo juu ya mstakabli wa taifa( mwakyembe , chifupa etc)
ONA SASA WALICHOMFANYIA LEMA! Kweli hawa ccm ni wanafiki wakubwa na huyo mwigulu na wanastahili kunyongwa na roho zao chafu mpaka shetani anawashangaa.
SHAME ON YOU ALL MAGAMBAS MUFILISI!
 
MWIGULU!!HUNA MPYA!!!! HAO WATENDAJI UNAOWASEME NI WATEULE WENU TENA JAMAA ZENU!!UNAFIKI NA UROHO WA CCM NDIO UMETUFIKISHA HAPA!!HAINA HAJA KUJITETEA SANA!! KUNA MAMBO MENGI SAANA ULIFANYA IGUNGA NI YA AIBU KWA KIONGOZI WA TAIFA WA CHAMA TAWALA!!UNADHAN ULIKUWA UNAONYESHA PICHA GANI KWA WATUMISHI!! BY THE WAY CCM HAIHITAJI USHAURI WA KITAALAM KWAKUWA KILA KTU MNAENDESHA KWA MASILAH YENU BINAFSI!!NAKUHESHIMU SANA LAKIN UPO UPANDE UMBAO HAUBEBEKI NDIO MAANA NAWE UNAONEKANA UNA MAWAZO MGANDO!!HEBU NIAMBIE NANI ATAKUSIKILIZA HATA KAMA UNAWAZO ZURI IKIWA WENZIO WANA MAWAZO YA KIZINDAKI!!! WASIKUNDANGANYE KWA KUKUTUMIA THUS TIME WATAKUTUPA NA UJUE BADO UNA UMRI MDOGO SIO WAKUFEDHEHESHWA!!MUONE Malecella !! Je huyu ni wakumlinganisha na watu wenye akili kama akina Lusinde !!lakin ona WATU WALIVYOMBWAGA KISA TU!!MASILAHI YAO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! ur shaming ur safe kaka bora uachane na siasa uchwara!!!
 
MWIGULU!!HUNA MPYA!!!! HAO WATENDAJI UNAOWASEME NI WATEULE WENU TENA JAMAA ZENU!!UNAFIKI NA UROHO WA CCM NDIO UMETUFIKISHA HAPA!!HAINA HAJA KUJITETEA SANA!! KUNA MAMBO MENGI SAANA ULIFANYA IGUNGA NI YA AIBU KWA KIONGOZI WA TAIFA WA CHAMA TAWALA!!UNADHAN ULIKUWA UNAONYESHA PICHA GANI KWA WATUMISHI!! BY THE WAY CCM HAIHITAJI USHAURI WA KITAALAM KWAKUWA KILA KTU MNAENDESHA KWA MASILAH YENU BINAFSI!!NAKUHESHIMU SANA LAKIN UPO UPANDE UMBAO HAUBEBEKI NDIO MAANA NAWE UNAONEKANA UNA MAWAZO MGANDO!!HEBU NIAMBIE NANI ATAKUSIKILIZA HATA KAMA UNAWAZO ZURI IKIWA WENZIO WANA MAWAZO YA KIZINDAKI!!! WASIKUNDANGANYE KWA KUKUTUMIA THUS TIME WATAKUTUPA NA UJUE BADO UNA UMRI MDOGO SIO WAKUFEDHEHESHWA!!MUONE Malecella !! Je huyu ni wakumlinganisha na watu wenye akili kama akina Lusinde !!lakin ona WATU WALIVYOMBWAGA KISA TU!!MASILAHI YAO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! ur shaming ur safe kaka bora uachane na siasa uchwara!!!
 
Nachukia mtu aliyeboronga kuhamishwa, hata mvivu tu kulelewa cos kuna watu wengi sana wanatafuta kazi. Inawekana awamu ya kwanza ilihamisha watu walioboronga sawa wasomi hawakwepo niliwahi kufuatilia nikaambiwa sheria zinawalinda waborongaji kuwa ukimfukuza utamlipa hela nyingi. Bila ubishi tuziangalie upya sheria hizo. Tuwasiliane kwa facebook nikupe cm kwa ushauri. Nakuelewa you have a point

MNAFIKI mkubwa wewe! Kwa macho nilikushuhudia ktk kijiji cha Nsimbo- igunga kwenye uchaguzi mdogo mwaka jana ukikashifu wale wote wenye msimamo na nchi, ulimtusi sana slaa kwa kudhani kuwa mtaendelea kutawala milele? Hakya mungu yani nyie 2015 mtatoka tu iwe kwa kura ama kwa Vita kwani kheri kutawaliwa hata na shetani kuliko nyie wafuasi wake mnaosambaza ukimwi kwa wadogo zetu na dada zetu kwa kivuli cha madaraka pia na kutumia rasilimali zetu na kodi zetu kumvua mpiganaji wetu lema ubunge na kuwakosesha haki wananchi wa Arusha uwakilishi bungeni, ALAFU NA WALE WATOTO ZAIDI YA 430 AMBAO WENGINE NI YATIMA AMBAO HUWA WANASOMESHWA NA LEMA KWA KUTUMIA FEDHA ZA UBUNGE, je mtawasomesha nyie wakina mwigulu na ccm yenu?
MLAANIWE WEZI WA UTU NA RASILIMALI ZETU NYIE CCM.!
 
Nadhani kumekuwa na kumwingilia Mwigulu
Mtoa hoja alitaka ufafanuzi toka kwa Mwigulu/Nape/Serukamba
Mwigulu amejibu kisiasa na nilitegemea mjadala uendelee bila kushambulia personalities bali hoja
Ukweli hata mimi nashangaa vijana wenye akili kama yeye huwa wanatafuta nini ndani ya CCM hii ya sasa ambayo haifanani na CCM tuliyojiunga nayo miaka hiyo
Ila ili kujua sababu hatupaswi kumshambulia, tumpe nafasi naye aseme
Na kwa hili ningefurahi kumsikia Nape pia maana kuna wakati tuliamini ni mmoja wa watu makini ndani ya CCM
Kwa sasa nina mashaka na imani yangu ya awali ila nae si vema kumhukumu bila kumsikia maana hiyo ndio natural justice
 
Ukiwasikiliza vizuri wana CCM namna wanavyozungumzia masuala ya kitaifa,hasa mkwamo wetu sugu wa kimaendeleo, utabaini kufanana kwa mitazamo yao juu ya sababu za mkwamo wetu huo:kwamba wapo viongozi wasiotimiza wajibu wao ipasavyo na hivyo wanamwangusha mteuzi wao,rais (usahihi ni kuwa wanawaangusha wananchi). Kwamba rais, kwa vyovyote vile, hawezi hawezi kuwa kila mahali muda wote kama ilivyo kweli pia kwa mawaziri na waandamizi wengine.Haya yote ni majibu sahihi kabisa na tungepaswa kuwapongeza hawa watawala wetu wa kada ya kati kwa angalau kuyatambua matatizo yetu.
Kinachoumiza na kuudhi ni kuwa,watawala wetu,mara nyingi kama si zote, hukosa masuluhisho ya matatizo yanayotusibu.Hata ikitokea wamepata majibu,kwa kweli huwa siyo majibu sahihi na muafaka.Kwa mtazamo wangu,kwa kuzingatia ukubwa wa nchi yetu na kiwango duni cha maendeleo,sasa tunalazimika kujaribu mfumo wa majimbo kama mfumo wa utawala unaotoa hakikisho la maendeleo kama unavyotekelezwa Kenya sasa.Nimeudurusu mfumo huu na nimeridhika kuwa ni jawabu la matatizo ya kiuchumi na kiutawala yanayotukabili..Na hapa wanapaswa kuwaona CHADEMA kwa tuition ili wapate kuuelewa vyema mfumo huu.
 
Nachukia mtu aliyeboronga kuhamishwa, hata mvivu tu kulelewa cos kuna watu wengi sana wanatafuta kazi. Inawekana awamu ya kwanza ilihamisha watu walioboronga sawa wasomi hawakwepo niliwahi kufuatilia nikaambiwa sheria zinawalinda waborongaji kuwa ukimfukuza utamlipa hela nyingi. Bila ubishi tuziangalie upya sheria hizo. Tuwasiliane kwa facebook nikupe cm kwa ushauri. Nakuelewa you have a point


Kuna kazi kubwa ya hakikisha sheria mpya inakuwa bora sana kwa Taifa.Cha pili umetetea kuhusu CCM kama chama kisilaumiwe bali mtu mmoja mmoja ndio lawama ziwaendee...unaweza kuwa sahihi kwa upande fulani ila si kwa kiasi kikubwa na kwa hali ya taifa kwa sasa.Tatizo la TZ kwa sasa ni watu ndani ya CCM ,watu wao wanitwa mafisadi.Utaona watu wengi wanatoka CCM kwa sababu ya ufisadi ,watu wengi wanachukia CCM kwa sababu ya ufisadi.Wakuna mtu niliyemsikia anahama chama kwa sababu ya sera(Wakati sera ndio inatakiwa kutofautisha vyama).Kwa hiyo tatizo laTZ kwa sasa si sera ni ubadhilifu ,ufisadi,uvivu wa viongozi na irrespospibility.Tuko ktk lower level of politics..si laumu watu kutofuata vyama kwa sera inawa ndio wanatakiwa kufanya hivyo ,but as status-quo concern vyama vinabidi visiwe na mafisadi (kusafisha)ndipo sera zitafuata.OK katiba mpyaikazie kubana mafisadi,uwazi...n.k maana tukichukia CCM kwa ajili ya ufisadi na kupenda CDM je tunatoa wapi uhakika kuwa viongozi wa CDM hawataka kuwa mafisadi ?Kwa maana ufisadi si sera za CCM wala CDM ni watu,...na watu ndio sisi tunawezakuwa CCM ama CDM.WaTz tubadilike viongozi wana reflect tulivyo kwa kuwa wanatoka miongoni mwetu.Until then CCM must go down for better future ,is the only way to get rid off mafisadi as no body can take them out of the party
 
Nachukia mtu aliyeboronga kuhamishwa, hata mvivu tu kulelewa cos kuna watu wengi sana wanatafuta kazi. Inawekana awamu ya kwanza ilihamisha watu walioboronga sawa wasomi hawakwepo niliwahi kufuatilia nikaambiwa sheria zinawalinda waborongaji kuwa ukimfukuza utamlipa hela nyingi. Bila ubishi tuziangalie upya sheria hizo. Tuwasiliane kwa facebook nikupe cm kwa ushauri. Nakuelewa you have a point

Mwigulu,

..wewe binafsi, mbona Lusinde alipoboronga kwa kutoa matusi ya nguoni hukumnyang'anya kipaza sauti?? u were there.

..mbona mpaka leo hii hujaomba radhi, wala kumchukulia hatua za kinidhamu Lusinde??
 
ulukolokwitanga siku hazifanani na pia hata mapacha tabia hazifanani. Wana CCM nao hawafanani na inapokwepo tabia mbaya ya mtanzania mmoja haina maana watanzania wote ni majizi. Nayasema toka moyoni na ndio ninayoamini. Mifano inahitajika kwa wahalifu ili wengine waogope kucheza na mali za wavuja jasho

Mwigulu, nimesoma post zako nyingi. And ni kama unajibu kisiasa. Hautoi majibu stahiki. Cha zaidi ni kama unataka huruma ya wananchi(Sympathy) . Ili tusahau na tuwasamehe kwa uzembe wa serikali yenu dhaifu.

1) Ndugu hakuna muda wa kuwasemehe wala kusikiliza politics tena. Msipofanya kazi, 2015 lazima mtoke madarakani. Muda wa sympathy umeshaisha.

2) Mimi naomba nikuulize swali. Leo wewe mwigulu unikabidhi ofisi yako kama Chief execetive oficer. Na mimi ndo mwenye maamuzi yote pale ofisi. Kuanzia management mpaka mpato ya kampuni.

kwa miaka zaidi ya 40 nashikilia ofisi. Na uzuri ndugu yangu unakuja baada ya miaka 5 kukagua ofisi yako.

Tatizo kila ukija unakuta management mbovu. kila siku Kampuni iko kwenye hasara. Mademi makubwa, na yanaongezeka kila mwaka. Tumekopa fedha, na misaada
tumepokea mingi tuu,lakini haisaidii. Kampuni ilikua na mitambo, vifaa magari n.k. Lakini kila ukija unakuta mali za kampuni zinakufa tu (and nakupa excuse nyingi tuu).

Wafanyakazi wanaiba and they do whatever they want. mimi mwenyewe uliyeniweka nisimamie kampuni unajua fika kabisa nakuibia. ofisi imegeka genge la utapeli, ufisadi na rushwa...

Wewe kama mmiliki(owner) ukija, lazima uanze na mimi. kwasababu mimi ndo "HEAD" wa hiyo kampuni.

Hivi mimi nikakuambia bwana, hapa kazini wafanyakazi hawana uzalendo. Wafanykazi hawafanyi kazi wao ni kuiba tu. Gharama za kufukuza wafanyakazi ni kubwa mno. So ni bora kuwaamisha vitengo. Ila naomba mda mwingine tena niendelee kuongoza kampuni yako.... Kumbuka miaka 50 imepita kila siku nakupa hadithi hizi hizi.

naomba majibu tafadhari.
hivi Mwigulu utamwachia mtu kama huyo aendelee kuongoza kampuni yako??.
 
Ndugu zangu mimi ni mtanzania, ninamaoni na pamoja na kuwa chama tawala najua wapi panachangamoto na wapi panakwenda vizuri. Nilichosema kama taifa tuna tatizo la uzalendo na pia kuna tatizo la watu kutokujituma. Nasema tuna kila sababu ya kutilia mkazo uzalendo na uaminifu tunapoandaa sheria mama mpya.
Nchemba naona bora uingie mitini tu hamna unachojibu au kuna kidosho unakisubiri kwahiyo unapoteza muda kidogo na jf
 
Hari ya Pasaka wana JF. Mtoboa siri swali lako pana mno cos sekita ziko nyingi hata ukiichukia CCM KIASI GANI HUWEZI SEMA NI SIFURI. NI SAWA KUNA MAPUNGUFU LAKINI SIO SIFURI. KWA UPANDE WANGU SIONI KAMA CHAMA NI TATIZO BALI TATIZO NI KWA BAADHI YA WASIMAMIZI KUKOSA UAMINIFU NA UZALENDO. TATIZO SIO KWENYE SERA BALI TANZANIA KUNA MIPANGO AMBAYO ILIPOPELEKWA NCHI ZA JIRAN WALIBADILI JINA LA NCHI TU WAKAISIMIA MIA VIZURI NGAZI ZOTE IKAWAPA MATUNDA MAZURI. NCHI HAIJENGWI NA MTU MMOJA. SWALI PANA NDIO MAANA NIMEOGELEA KUJIBU. ILA KTK KUKUSHAWISHI NAKUOMBA TUSIANGALIE CHAMA KAMA GARI TUANGALIE CHANZO. UTAKUBALI KUWA KUNA WATENDAJI WENGINE WA SERIKALI WALA SIO WANACCM NA NI WABOVU HAWANA UZALENDO KWA NCHI LAITI WATANZANIA WOTE WALIO NA NYADHIFA WANGEJUA KUWA HAWAPASWI KUITUMIKIA CCM BALI WAITUMIKIE TANZANIA UZALENDO UNGEKUWA JUU. WATUMISHI WA CCM WAITUMIKIE CCM WA SERIKALI WAWATUMIKIE WATANZANIA NA WAWE WAZALENDO
Mkuu Nchema big up kwa maelezo mazuri sana, haya maelezo ndio unhestahili kuwaeleza watanzania wote pindi upatapo muda wa kuongea na watanzania either kwenye kampeni au kwenye hadhara yoyote
 
Mkuu Nchema big up kwa maelezo mazuri sana, haya maelezo ndio unhestahili kuwaeleza watanzania wote pindi upatapo muda wa kuongea na watanzania either kwenye kampeni au kwenye hadhara yoyote

mpe bichwa tu ukidhania watanzania wote ni mbumbumbu kama wewe
 
Nachukia mtu aliyeboronga kuhamishwa, hata mvivu tu kulelewa cos kuna watu wengi sana wanatafuta kazi. Inawekana awamu ya kwanza ilihamisha watu walioboronga sawa wasomi hawakwepo niliwahi kufuatilia nikaambiwa sheria zinawalinda waborongaji kuwa ukimfukuza utamlipa hela nyingi. Bila ubishi tuziangalie upya sheria hizo. Tuwasiliane kwa facebook nikupe cm kwa ushauri. Nakuelewa you have a point

Sheria hizo alizitunga nani?ccm acheni kutuhadaa watz mfano siku mlokuwa mkipitisha sheria ya muundo wa kamati za maadili ya watumishi wa mahakama mkawa mnashadadia uwepo wa makada wenu kwenye kamati hizo.
 
Back
Top Bottom