mopaomokonzi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 308
- 28
Mwigulu nilikuwa najiuliza sana kuwa kitu gani kimekutokea cos nilikujua tukiwa iliboru ulikuwa na kipaji sana cha uongozi na pia nikasimuliwa kuwa ulionesha mfano mzuri sana mazengo na chuo kikuu, kupitia mjadala huu nimehakikisha kuwa Mwigulu wa enzi zile na wa sasa ni yuleyule na zaidi ume advance zaidi. Binafsi nakupongeza na kukutia moyo una nafasi ya kulikomboa taifa hili na yeyote anayekufaham vizuri hawezi kukulaumu kwa makosa ya watu wengine ktk chama au serikali bali atataman uwe na mamlaka. Mazengo wanakumbuka msemo wako wa Enough is enough, nataman haya mambo yanayokera watu ungekuwa na mamlaka labda ungesema enough is enough. Ilboru nakukumbuka kwa usemi leadership is showing the way, you can not show the way unless you know the way. Big up bro you ara the youth's role model