Nape na Mwigulu naomba mnijibu...

Mwigulu mwigulu mwigulu ahaaa nimemkumbuka ni yule anayependa wake za watu ,je mali za uma si ndio mbakaji kabisa.
 
Sijasema sheria zinatumiwa read between line ni nimesema mipango kama mkukuta, ITC Iliyotumika Rwanda etc. Sheria sijaisifia natamani kwa jinsi watu walivyokosa uzalendo Tz tupate sheria za Asian min tiggets tuwe na sheria kali kuhusu matumizi ya ofc za umma na rasilimali za taifa. Ujasiri bila sheria sio afya sana. Huenda wengine wanafanya makosa baada ya kusoma mapungufu ya sheria. Mimi sitaki kuamini kuwamakosa yote ya watumishi wasio waaminifu wamefanya kwa bahati mbaya. mbona wengine wasomi
 
Mwigulu mwigulu mwigulu ahaaa nimemkumbuka ni yule anayependa wake za watu ,je mali za uma si ndio mbakaji kabisa.[/QUOTE


I hate this behaviour, wakati tunajadili issues wewe una kuja na narrow minded za kudiscuss watu ili upotoshe mjadala.Tuheshimu jukwaa basi na tabia zenu za uswahilini kihivyo.
 
Nachukia mtu aliyeboronga kuhamishwa, hata mvivu tu kulelewa cos kuna watu wengi sana wanatafuta kazi. Inawekana awamu ya kwanza ilihamisha watu walioboronga sawa wasomi hawakwepo niliwahi kufuatilia nikaambiwa sheria zinawalinda waborongaji kuwa ukimfukuza utamlipa hela nyingi. Bila ubishi tuziangalie upya sheria hizo. Tuwasiliane kwa facebook nikupe cm kwa ushauri. Nakuelewa you have a point

Mwigulu leo sikuelewi au ndo PASAKA? nimeiangalia ID yako mara mbilimbili!
Ila sikubaliani na wewe kwa hili, CCM ndio wenye wabunge wengi na inawezekana wakabadili hizi sheria kama zina matatizo, unachotaka kukifanya hapa mwigulu ni kukiangusha chama chetu na kujifanya kama wewe sio part ya matatizo!

swali:
Nini nkimesababisha CCM msizibadili hizi sheria wakati mna uwezo kutokana na majority?
 
Well spoken Nchemba lakini tatizo kubwa ni Serikali ya Chama cha Mapinduzi kushindwa kuwawajibisha watu hawa zaidi ya kuwahamisha vituo vya kazi kila wanapoboronga. Pia hao magamba wa kisiasa nani atawawajibisha, sitafuni maneno namaana Lowassa,Chenge,Rostam na wengine ngazi ya mkoa na wilaya.

Majizi wametumia siasa ama tiketi ya chama kujinufaisha still wanapeta.Tazama maisha ya viongozi wetu na waliowaweka madarakani ni sawa na mbingu na ardhi.Mtazame Nape alivyoota mbawa,hakubali ushauri wala mawazo ya vijana wenzie kisa eti kapanda Cheo (Katibu Muenezi) na Vx juu mali ya wanachama na watanzania.

Mwigulu kuna kazi kaka,kweli mimi ni wakuongea na Nape nimpe ushauri mdogo wangu, ananiambia yuko busy sana labda aniassign mtu eti niwasilishe mawazo yangu.Hii ni ishara ya kulewa madaraka, hapa ndipo pazito si watumishi wa chama wala serikali ''wote manzi ga nyanza''.

Naamini kuwa wewe ni ccm damu (kwa kauli yako hii)! Na wewe naomba niambie, una sababu gani ya kutojiunga na CHADEMA kama nilivyofanya juzi? Naomba usome articles za Jenerali Ulimwengu zinavyosema ambae ni Mwana ccm wa kutupwa - japo ni ccm aliyoiacha Nyerere (ambayo hata Dr Slaa ambae leo ni mwiba wa ccm ya leo alikuwa mwanachama wake)
 
Kwa nchi ilipofika, nadhani yunahitaji kuindoa tu ccm madarakani, maana uozo uliopo hatuwezi kutatuliwa na mwana ccm tena, maana mamikataba ya madini na mingine mingi ambayo serikari ya ccm imefanya hayawezi kutatuliwa na mwana ccm, lazima sasa ije serikali mpya
 
Ukimuona mtu yupo kwenye basi bovu ambalo wenzake wameshuka ujue kuwa ana mzigo mkubwa.

Naamini kuwa wewe ni ccm damu (kwa kauli yako hii)! Na wewe naomba niambie, una sababu gani ya kutojiunga na CHADEMA kama nilivyofanya juzi? Naomba usome articles za Jenerali Ulimwengu zinavyosema ambae ni Mwana ccm wa kutupwa - japo ni ccm aliyoiacha Nyerere (ambayo hata Dr Slaa ambae leo ni mwiba wa ccm ya leo alikuwa mwanachama wake)
 
Sijasema sheria zinatumiwa read between line ni nimesema

mipango kama mkukuta, ITC Iliyotumika Rwanda etc. Sheria sijaisifia natamani kwa jinsi watu walivyokosa uzalendo Tz tupate sheria za Asian min tiggets tuwe na sheria kali kuhusu matumizi ya ofc za umma na rasilimali za taifa. Ujasiri bila sheria sio afya sana. Huenda wengine wanafanya makosa baada ya kusoma mapungufu ya sheria. Mimi sitaki kuamini kuwamakosa yote ya watumishi wasio waaminifu wamefanya kwa bahati mbaya. mbona wengine wasomi

Nchemba matokeo ya ukosefu wa maadili yako mikononi mwa Serikali ya Chama cha Mapinduzi and there is no other government than CCM currently.

Mbona enzi za Mwalim Kambarage maujinga haya yalikuwa hayapo ama sera za kipindi hicho na sheria zilikuwa in place.Sokoine mbona alikula na Wahujumu sahani moja,alikuwa anatumia sheria gani?

Mjipange la sivyo hatutawaelewa 2015 zaidi ya kuwamwaga na kutafuta mbadala ata wa kijeshi.
 
Sijasema sheria zinatumiwa read between line ni nimesema mipango kama mkukuta, ITC Iliyotumika Rwanda etc. Sheria sijaisifia natamani kwa jinsi watu walivyokosa uzalendo Tz tupate sheria za Asian min tiggets tuwe na sheria kali kuhusu matumizi ya ofc za umma na rasilimali za taifa. Ujasiri bila sheria sio afya sana. Huenda wengine wanafanya makosa baada ya kusoma mapungufu ya sheria. Mimi sitaki kuamini kuwamakosa yote ya watumishi wasio waaminifu wamefanya kwa bahati mbaya. mbona wengine wasomi
Mkuu heshima kwako! Unajua ccm ndo wenye uwezo wakufanya hayo yote hebu niambie unakwama wapi kuyasema hayo kwenye vikao vya chama, au ndo yaleyake yakumwogopa lowasa!
 
Mwigulu leo sikuelewi au ndo PASAKA? nimeiangalia ID yako mara mbilimbili!

And your point is...? Yaani unamlaumu Mwigulu kusema ukweli wake??? Yaani tukichukua madaraka (na kwa ccm hii yenye watu wa aina yako hakuna cha kuzuia hilo kutokea) lazima tutawashughulikia kisheria!
 
Mkuu heshima kwako! Unajua ccm ndo wenye uwezo wakufanya hayo yote hebu niambie unakwama wapi kuyasema hayo kwenye vikao vya chama, au ndo yaleyake yakumwogopa lowasa!

Henge, Acha ujinga! Ayaseme haya kwenye kikao gani cha ccm? Na ccm yenyewe ni ipi hadi asikilizwe, hii ya Mukama? Give us a break!
 
kumlaumu mwigulu ni au nape ni kuwaonea. Hawa sio chanzo wa dawa ya magamba. Kwa hakika sijui kama hata tatizo la msingi analifahamu,hasa kama mwenyekiti wa chama mwenyewe hana abc za sbb za umaskini wa nchi yetu. Hawa ni vjana tunaoweza kuwasamehe na hata tukasindikizia na glasi ya maji au maneno ya jesus; 'maana hawalijui walitendalo'. Namuomba tu mdogo Mwigulu aamke upya,ajitathmini utu wake na kurudi kunako drawing board. Kumbuka motto ya Ilboru. EDUCATION FOR SERVICE, AND not FOR WHITE COLLAR JOBS AND COMFORTABLE SALARIES.
 
Kwa nchi ilipofika, nadhani yunahitaji kuindoa tu ccm madarakani, maana uozo uliopo hatuwezi kutatuliwa na mwana ccm tena, maana mamikataba ya madini na mingine mingi ambayo serikari ya ccm imefanya

tatizo jingine ni tiss kuwa sehemu ya chama tawala..... Hili ni tatizo kubwa sana......baada ya kutoka mfumo wa chama kimoja tulitakiwa kaa pamoja kuanda mfumo mpya, lakini mkapa alifanya mwenyewe...... Nadhani kule arumeru tumeona mtazamo wake juu ya vyama upinzani
hayawezi kutatuliwa na mwana ccm, lazima sasa ije serikali mpya
 
Ndugu zangu mimi ni mtanzania, ninamaoni na pamoja na kuwa chama tawala najua wapi panachangamoto na wapi panakwenda vizuri. Nilichosema kama taifa tuna tatizo la uzalendo na pia kuna tatizo la watu kutokujituma. Nasema tuna kila sababu ya kutilia mkazo uzalendo na uaminifu tunapoandaa sheria mama mpya.
 
Ndugu Mwigulu nimependa majibu yako. Napenda kutofautiana kidogo na wewe katika mambo mawili. 1. Kwa sehemu kubwa chama chenu kimewekeza kwa mtu mmoja. Hivyo unaposema kuwa nchi haijengwi na mtu mmoja, sina hakika kwa kiwango gani mawazo ya mheshimiwa Makamba Yusufu baada ya matokeo ya utafiti fulani alisema JK ni mtaji tosha wa ccm. Sina hakika kama huu ndo ulikuwa mtazamo wa kichama au mtazamo wake binafsi. Pili pamoja na kuwa nakubaliana nawe kuwa wapo watendaji wengi wabofu, wabadhirifu na wasio na uzalendo, ni vigumu kumshawishi mtazamia mimi leo kuwa uozo huu haujatokana na usimamizi mbovu. Ninaposema usimamizi mbovu nina maana ya majukumu ya vyombo vya kusimamia (oversight institutions) kama Bunge (na kamati zake), CGA, PCCB, Mahakama na vingine. Kimsingi kama tungekuwa na utaratibu wa kuwajibishana ndani ya chama kabla ya kumwangalia mtendakosa bali kuhukumu kosa, bila shaka watendaji wengi wangepata nidhamu (discipline) ya kazi na kutekeleza majukumu yao. Leo hii kama mwenye kosa hana uhusiano na kiongozi wa juu wa chama ama serikali anaishia kuhamishwa idara, wizara au wilaya.Tunamwachia MremaAugustin kulalamika kuwa hata muda wanaopewa watenda makosa kuchunguzwa ni mrefu kiasi kwamba hauwatendei haki wenye hela ambao ni raia masikini wa nchi hii. Ni kusema kuwa, bila shaka nidhani iliyopo serikalini ni mg'ao (reflection)ya nidhani iliyoko kwenye chama tawala!
Hari ya Pasaka wana JF. Mtoboa siri swali lako pana mno cos sekita ziko nyingi hata ukiichukia CCM KIASI GANI HUWEZI SEMA NI SIFURI. NI SAWA KUNA MAPUNGUFU LAKINI SIO SIFURI. KWA UPANDE WANGU SIONI KAMA CHAMA NI TATIZO BALI TATIZO NI KWA BAADHI YA WASIMAMIZI KUKOSA UAMINIFU NA UZALENDO. TATIZO SIO KWENYE SERA BALI TANZANIA KUNA MIPANGO AMBAYO ILIPOPELEKWA NCHI ZA JIRAN WALIBADILI JINA LA NCHI TU WAKAISIMIA MIA VIZURI NGAZI ZOTE IKAWAPA MATUNDA MAZURI. NCHI HAIJENGWI NA MTU MMOJA. SWALI PANA NDIO MAANA NIMEOGELEA KUJIBU. ILA KTK KUKUSHAWISHI NAKUOMBA TUSIANGALIE CHAMA KAMA GARI TUANGALIE CHANZO. UTAKUBALI KUWA KUNA WATENDAJI WENGINE WA SERIKALI WALA SIO WANACCM NA NI WABOVU HAWANA UZALENDO KWA NCHI LAITI WATANZANIA WOTE WALIO NA NYADHIFA WANGEJUA KUWA HAWAPASWI KUITUMIKIA CCM BALI WAITUMIKIE TANZANIA UZALENDO UNGEKUWA JUU. WATUMISHI WA CCM WAITUMIKIE CCM WA SERIKALI WAWATUMIKIE WATANZANIA NA WAWE WAZALENDO
 
Naamini kuwa wewe ni ccm damu (kwa kauli yako hii)! Na
wewe naomba niambie, una sababu gani ya kutojiunga na CHADEMA kama nilivyofanya j
uzi? Naomba usome articles za Jenerali Ulimwengu zinavyosema ambae ni Mwana ccm wa kutupwa - japo ni ccm aliyoiacha Nyerere (ambayo hata Dr Slaa ambae leo ni mwiba wa ccm ya leo alikuwa mwanachama wake)

Mkubwa nimezunguka kwenye vyama kama NCCR,CUF sasa nimechoka.Sina haja ya kujiunga CDM naogopa kukamilisha record ambayo itaniweka kwenye red light.Napigania saa hizi katiba mpya ili niweze kusupport wale wagombea binafsi wenye akili timamu na agenda za msingi.

Viongozi hawa wa kisiasa hasa wa vyama hawakawii kujisahau na badala ya wao kukibeba chama sasa ubakia chama kuwabeba na hatimaye kuviuwa vyama hivi.Tutapiga nao jalamba sana,kukesha nao kwenye mikutano bega kwa bega lakini wapatapo madaraka hata kuwashika mikono na kushauriana ama kukumbushana wajibu wa kuwatumikia Wananchi huwa ni issue.
 
Hari ya Pasaka wana JF. Mtoboa siri swali lako pana mno cos sekita ziko nyingi hata ukiichukia CCM KIASI GANI HUWEZI SEMA NI SIFURI. NI SAWA KUNA MAPUNGUFU LAKINI SIO SIFURI. KWA UPANDE WANGU SIONI KAMA CHAMA NI TATIZO BALI TATIZO NI KWA BAADHI YA WASIMAMIZI KUKOSA UAMINIFU NA UZALENDO. TATIZO SIO KWENYE SERA BALI TANZANIA KUNA MIPANGO AMBAYO ILIPOPELEKWA NCHI ZA JIRAN WALIBADILI JINA LA NCHI TU WAKAISIMIA MIA VIZURI NGAZI ZOTE IKAWAPA MATUNDA MAZURI. NCHI HAIJENGWI NA MTU MMOJA. SWALI PANA NDIO MAANA NIMEOGELEA KUJIBU. ILA KTK KUKUSHAWISHI NAKUOMBA TUSIANGALIE CHAMA KAMA GARI TUANGALIE CHANZO. UTAKUBALI KUWA KUNA WATENDAJI WENGINE WA SERIKALI WALA SIO WANACCM NA NI WABOVU HAWANA UZALENDO KWA NCHI LAITI WATANZANIA WOTE WALIO NA NYADHIFA WANGEJUA KUWA HAWAPASWI KUITUMIKIA CCM BALI WAITUMIKIE TANZANIA UZALENDO UNGEKUWA JUU. WATUMISHI WA CCM WAITUMIKIE CCM WA SERIKALI WAWATUMIKIE WATANZANIA NA WAWE WAZALENDO

Kaka Mwigulu Hongera kwanza...kweli wewe mwanasiasa....umemzungusha Mtoboasiri akazungushika kwelikweli....na ameamini kuwa swali lake limejibiwa. Ki ukweli sijaona jibu la swali la msingi la muulizaji...labda nilirudie, aliuliza hivi...MTANZANIA MASIKINI AIAMINI CCM KWA LIPI? Nimesoma maelezo yako karibu mara nne, lakini sijaona jibu la swali lilioulizwa na wala haujakili kuwa umeshindwa kujibu....hebu na wewe rudia tena uone kama kuna jibu la swali lililoulizwa. Asante sana.
 
Bwn Mwigulu umeonyesha kuwa mzalendo sasa swala la kuhamisha watu toka sehemu moja kwenda nyingine ni tatizo kubwa ila hili la kuwaridhisha watoto wa viongozi kwenye nafasi flani huoni kuna kitu flani mnaficha?2 je nchi hii haina vijana wengine walio wazalendo na nchi Mfano familia ya mwinyi,malecela,bilali,nauye, na wengine wengi au nikutaka kujenga ufalme flani ndani ya nchi? Kuna mmoja wa wanabodi wametaja baadhi ya majina kuhusu ufisadi lakini mimi naona huo ufisadi haukuanza na hao tujikumbushe enzi za mzee mwinyi na loliondo hoteli za sopa mzee mkapa na absa nyumba za serikali nk je ndani ya chamachenu hakuna wazee wenye busara kuonya na kukumbusha hayo yote? je mpo tayari kutaifisha hayo mrudishe kwa wananchi naomba nijbu hapo nina mengine mengi
 
je tuiamini ccm kwa kupambana na ufisadi..yupii?

Je tuiamini ccm kwa kuinua kilimo...wapi?

Je tuamini ccm kwa kukuza elimu bora...ipi?

Je tuiamini ccm kwa kuongeza ajira..zipi?

Je tuiamini ccm kwa uadilifu ..upi?labda ule wa lusinde na nchemba

je tuiamini ccm kwa kulinda amani...ipi?labda kule sumbawanga na tarime

je tuiamini ccm kwa maisha bora..yapi?

MMEZOEA KUWAAMBIA WAFANYAKAZI WAWE NA WITO AU UZALENDO KWA LIPI ZURI MNALOWAFANYIA?
 
Hari ya Pasaka wana JF. Mtoboa siri swali lako pana mno cos sekita ziko nyingi hata ukiichukia CCM KIASI GANI HUWEZI SEMA NI SIFURI. NI SAWA KUNA MAPUNGUFU LAKINI SIO SIFURI. KWA UPANDE WANGU SIONI KAMA CHAMA NI TATIZO BALI TATIZO NI KWA BAADHI YA WASIMAMIZI KUKOSA UAMINIFU NA UZALENDO. TATIZO SIO KWENYE SERA BALI TANZANIA KUNA MIPANGO AMBAYO ILIPOPELEKWA NCHI ZA JIRAN WALIBADILI JINA LA NCHI TU WAKAISIMIA MIA VIZURI NGAZI ZOTE IKAWAPA MATUNDA MAZURI. NCHI HAIJENGWI NA MTU MMOJA. SWALI PANA NDIO MAANA NIMEOGELEA KUJIBU. ILA KTK KUKUSHAWISHI NAKUOMBA TUSIANGALIE CHAMA KAMA GARI TUANGALIE CHANZO. UTAKUBALI KUWA KUNA WATENDAJI WENGINE WA SERIKALI WALA SIO WANACCM NA NI WABOVU HAWANA UZALENDO KWA NCHI LAITI WATANZANIA WOTE WALIO NA NYADHIFA WANGEJUA KUWA HAWAPASWI KUITUMIKIA CCM BALI WAITUMIKIE TANZANIA UZALENDO UNGEKUWA JUU. WATUMISHI WA CCM WAITUMIKIE CCM WA SERIKALI WAWATUMIKIE WATANZANIA NA WAWE WAZALENDO

Mwigulu, hoja yako ina mantiki lakini kama kawaida ya wanaccm mnaogopana ninyi kwa ninyi. Angalia suala la kujivua gamba sasa umekuwa mchezo wa kitoto tu. Maneno mengi vitendo sifuri. Hao unaosema watumishi wa serikali wanaopaswa kuwatumikia watanzania lakini hawana uzalendo anayewalea ni nani? Si ninyi wenyewe ccm na serikali yenu!! Tatizo lenu ni kwamba mtu akionekana mvivu, mzembe, mbadhirifu au mwizi badala ya kumfukuza kazi na kumchukulia hatua za kisheria mnaishia kumhamisha kituo cha kazi.

Bila ccm kuchukua hatua stahili za kuiadabisha serikali yenu, anzeni kuandaa makazi mapya ya chama cha upinzani. Watanzania wa leo hawadanganyiki kwa ahadi za kitoto. Msipoangalia mwaka 2015 ni buriani yaani kwa kheri ya kutoonana.
 
Back
Top Bottom