sijaona mtu anayeenda kigoma wote ni madudu tu ndani ya jamii ya tanzania zito kawatisha nape nenda kwanza kwenu lindi ukawatoe cuf
Nimesoma mahojiano ya Nape kwenye BANG! Magazine,
Nimeshangazwa na usemi wake wa kuviita vyama vya upinzani pressure groups!!
Hivyo muungano wenu na CUF ni CCM plus pressure group?
Kama mnapambana na pressure groups hakuna haja ya mikutano yenye kuita na mawaziri kusema mmetimiza ahadi, kwani kama mmetimiza ....chema chajiuzaaaaaaaaaa.....sasa mbona mwajitembeza na pressure groups?
Magamba utawajua tu!!
Kigoma inavamiwa na genge la wahuni, walaghai na mafisadi.
Hahahah Nape anawashughulisha yaan robo ya akili ya Nape ni sawa na Viongozi wote wa CHADOMO
imekuwa ndio mazungumzo katika kila kona na vijiwe, wengi wao wamesema tumechoka na hiki chama cha cdm kwa ubaguzi wanaoufanya kwa zitto kabwe kwa kuwa tu katangaza nia yake ya kugombea urais anakuwa anapigwa vita na watu wa kaskazini, wanasema kigoma ilikuwa ngome ya chadema lakini sasa tumechoka na chama, tunaamua kurudi ccm kwanza wametekeleza kwa 90% yale yote waliyoahidi kwa mkoa wetu, hatuoni sababu ya kuendelea tena kukikumbatia chama kina choendesha endesha siasa zake kwa kutumia udini na ukabila!!! Tunarejea kwa mama. Walisema wakazi hao wa ujiji.