Atakuwa pia hajazungumzia kuwa Chadema wanafadhiliwa na mataifa tajiri ili kuvuruga amani iliyopo nchini,pia wanapewa misaada kwa masharti kwani wanaweka nchi rehani na rasilmali zetu tulizo nazo so wananchi msidanganywe.
Pia siku zile alisema kwenye harambee yao ni changa la macho wanadai hao Chadema wamechangisha mamilioni ambayo wananchi wamechangia na kuweka ahadi ili yote mie nina ushahidi hela wanayo tayari sema pale wanaiosha ili iwe halali wakati ni kutoka kwa nchi za nje kwa hiyo wananchi msidanganyike na hawa Chadema ni watu wa kuogopwa alisema siku zile ss mbona haya yote hajayarudia huyu kilaza?Ss baada ya kumsikia Dr Slaa ndio nae anajishika Lol amekwenda na maji tutaona huo ushahidi wake Lol ama kweli Ccm vialza wengi tu
Pia siku zile alisema kwenye harambee yao ni changa la macho wanadai hao Chadema wamechangisha mamilioni ambayo wananchi wamechangia na kuweka ahadi ili yote mie nina ushahidi hela wanayo tayari sema pale wanaiosha ili iwe halali wakati ni kutoka kwa nchi za nje kwa hiyo wananchi msidanganyike na hawa Chadema ni watu wa kuogopwa alisema siku zile ss mbona haya yote hajayarudia huyu kilaza?Ss baada ya kumsikia Dr Slaa ndio nae anajishika Lol amekwenda na maji tutaona huo ushahidi wake Lol ama kweli Ccm vialza wengi tu