Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,797
- 12,239
Ningependa kujua kutoka kwa Nape - Katibu Mwenezi CCM kama haoni tofauti ya kauli aliyoitoa mwezi uliopita kuwa CHADEMA kimepata mabilioni ya fedha kutoka kwa wafadhili wake kutoka nje ili kufanikisha M4C na ile aliyoitoa juzi Dr Slaa - Katibu Mkuu wa CHADEMA kuwa chama chake ni moja ya vyama vya siasa ikiwemo CCM vinapata ufadhili kutoka nje wa kujijengea uwezo?
Natoa hoja hii kwa kuwa nimemsikia leo Radio One akijiandaa kutumia kauli ya Dr. Slaa kama utetezi wake mahakamani alikoburuzwa na CHADEMA ili athibitishe kauli yake!
USHAURI: Namshauri Nape aweze kuchemsha bongo lake kidogo ili aweze kutofautisha hoja ambazo zina implication ya kisheria vinginevyo atakiliza chama chake CCM!
Natoa hoja hii kwa kuwa nimemsikia leo Radio One akijiandaa kutumia kauli ya Dr. Slaa kama utetezi wake mahakamani alikoburuzwa na CHADEMA ili athibitishe kauli yake!
USHAURI: Namshauri Nape aweze kuchemsha bongo lake kidogo ili aweze kutofautisha hoja ambazo zina implication ya kisheria vinginevyo atakiliza chama chake CCM!