Shida ya kuwa mwanasisiem unalazimishwa kutumia sehemu nyingine ya mwili wako kufikiri badala ya ubongo kama binadam wengine. Pole sana Nape
Hasa hasa kiuno
Shida ya kuwa mwanasisiem unalazimishwa kutumia sehemu nyingine ya mwili wako kufikiri badala ya ubongo kama binadam wengine. Pole sana Nape
Ningependa kujua kutoka kwa Nape - Katibu Mwenezi CCM kama haoni tofauti ya kauli aliyoitoa mwezi uliopita kuwa CHADEMA kimepata mabilioni ya fedha kutoka kwa wafadhili wake kutoka nje ili kufanikisha M4C na ile aliyoitoa juzi Dr Slaa - Katibu Mkuu wa CHADEMA kuwa chama chake ni moja ya vyama vya siasa ikiwemo CCM vinapata ufadhili kutoka nje wa kujijengea uwezo?
Natoa hoja hii kwa kuwa nimemsikia leo Radio One akijiandaa kutumia kauli ya Dr. Slaa kama utetezi wake mahakamani alikoburuzwa na CHADEMA ili athibitishe kauli yake!
USHAURI: Namshauri Nape aweze kuchemsha bongo lake kidogo ili aweze kutofautisha hoja ambazo zina implication ya kisheria vinginevyo atakiliza chama chake CCM!
Tatizo CDM walikuwa wanakanusha kuwa hawapokei pesa toka nje! Baada ya Nape Slaa anasema tunapokea ila sio nyingi! Wizi ni wizi tu hakuna wizi mdogo! Msijifanye Hamuelewi! ON top mnafadhaliwa na Chama chenye malengo ya Kikristo!
Utakuwa huna kumbukumbu nzuri,hii sio mara ya kwanza CDM kutoa ufafanuzi,kumbuka semina za kunduchi beach hotel.CDM walikuwa pale na CCM pia,na maneno yalikuwa kama haya sasa.Binafsi sioni mantiki ya CDM kumpeleka Nape mahakamani kwa upuuzi kama huu
Ni ukweli ambao hatutaki kuukubali kwamba hii kesi kwa na nape ni kama kumsukuma mlevi chini
Hapo kabla CDM hakikuwahi kukiri hadharani kuwa kinapokea kiasi chochote cha pesa kutoka nje ya nchi, na baada ya Nape kupata taarifa CDM wanapata mgao kutoka nje ambao hata yeye anajua wanapata kwenye chama chake lakini akaamua kuutumia ukimya huo wa CDM kuwa wanapataa fedha toka kwa wafadhili na ndio inawatia kiburi ya M4C
Ukweli ni kwamba CDM wanapokea pesa kwa wafadhili na sio dhambi, na swala la kuvuruga amani anaweza kudai ni mara ngapi CDM wamedai nchi haitawaliki tena?
Sioni mantiki yoyote ya maana hapa katika hili
Sasa sijui haya mambo ya idadi ya pesa na zinatumikaje sio issue kwenye matamshi ya kisiasa
Tatizo la Nape ni Jazba.
Binafsi sioni mantiki ya CDM kumpeleka Nape mahakamani kwa upuuzi kama huu
Ni ukweli ambao hatutaki kuukubali kwamba hii kesi kwa na nape ni kama kumsukuma mlevi chini
Hapo kabla CDM hakikuwahi kukiri hadharani kuwa kinapokea kiasi chochote cha pesa kutoka nje ya nchi, na baada ya Nape kupata taarifa CDM wanapata mgao kutoka nje ambao hata yeye anajua wanapata kwenye chama chake lakini akaamua kuutumia ukimya huo wa CDM kuwa wanapataa fedha toka kwa wafadhili na ndio inawatia kiburi ya M4C
Ukweli ni kwamba CDM wanapokea pesa kwa wafadhili na sio dhambi, na swala la kuvuruga amani anaweza kudai ni mara
ngapi CDM wamedai nchi haitawaliki tena?
Sioni mantiki yoyote ya maana hapa katika hili
Sasa sijui haya mambo ya idadi ya pesa na zinatumikaje sio issue kwenye matamshi ya kisiasa
Binafsi sioni mantiki ya CDM kumpeleka Nape mahakamani kwa upuuzi kama huu
Ni ukweli ambao hatutaki kuukubali kwamba hii kesi kwa na nape ni kama kumsukuma mlevi chini
Hapo kabla CDM hakikuwahi kukiri hadharani kuwa kinapokea kiasi chochote cha pesa kutoka nje ya nchi, na baada ya Nape kupata taarifa CDM wanapata mgao kutoka nje ambao hata yeye anajua wanapata kwenye chama chake lakini akaamua kuutumia ukimya huo wa CDM kuwa wanapataa fedha toka kwa wafadhili na ndio inawatia kiburi ya M4C
Ukweli ni kwamba CDM wanapokea pesa kwa wafadhili na sio dhambi, na swala la kuvuruga amani anaweza kudai ni mara ngapi CDM wamedai nchi haitawaliki tena?
Sioni mantiki yoyote ya maana hapa katika hili
Sasa sijui haya mambo ya idadi ya pesa na zinatumikaje sio issue kwenye matamshi ya kisiasa
Tatizo CDM walikuwa wanakanusha kuwa hawapokei pesa toka nje! Baada ya Nape Slaa anasema tunapokea ila sio nyingi! Wizi ni wizi tu hakuna wizi mdogo! Msijifanye Hamuelewi! ON top mnafadhaliwa na Chama chenye malengo ya Kikristo!
Tatizo CDM walikuwa wanakanusha kuwa hawapokei pesa toka nje! Baada ya Nape Slaa anasema tunapokea ila sio nyingi! Wizi ni wizi tu hakuna wizi mdogo! Msijifanye Hamuelewi! ON top mnafadhaliwa na Chama chenye malengo ya Kikristo!
.................well said bro, ''Wanasiasa wengine nafikiri ni wapuuzi fulani tu''.....Nape ni mfano halisi wa hao wanasiasa. Nina imani siku moja atakuja kujutia kwa jinsi anavyokubali kutumiwa kizembe namna hii. Ajifunze mfano mzuri ni kwa yule askari ambaye aliuwa mwandishi Nyololo-Iringa, bila shaka alipewa maelezo kutoka kwa wakuu wake na baada ya tukioo wakajaribu kuficha ukweli ila walivyoona mambo yamekuwa magumu sasa hivi wameamua kumtoa kafara yule policcm. Hali itakuwa vivyo hivyo kwa kijana mwenzetu Nape ambaye anaburuzwa na vizee kwa manufaa yao.
Tatizo la Nape ni Jazba.
Tatizo CDM walikuwa wanakanusha kuwa hawapokei pesa toka nje! Baada ya Nape Slaa anasema tunapokea ila sio nyingi! Wizi ni wizi tu hakuna wizi mdogo! Msijifanye Hamuelewi! ON top mnafadhaliwa na Chama chenye malengo ya Kikristo!