only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
....Amewaomba polisi wamuombe Dr Slaa ushahidi kuwa CCM wameingiza silaha kwa ajili ya vijana wao waliopo makambini, akiri kuwa uwa CCM uwa wanawaweka vijana makambini kujadili mambo mbalimbali.
....Asema CHADEMA wamepanga kujifanyia fujo kwenye mkutano wao utakaofanyika Morogoro mjini.
My take:
Hivi itawezekanaje wewe kujifanyia fujo kwenye mkutano wako mwenyewe?
Source: ITV
....Asema CHADEMA wamepanga kujifanyia fujo kwenye mkutano wao utakaofanyika Morogoro mjini.
My take:
Hivi itawezekanaje wewe kujifanyia fujo kwenye mkutano wako mwenyewe?
Source: ITV