Ni wakili gani anayetaka kuharibu rekodi yake kwa kesi isiyo na ushahidi maana inatakiwa uandae defence utaegemea wapi kama na ushahidi wa aliyoyatamka.Siku zote kuropoka kunaponza na kiburi pia au kulewa madaraka maana alipewa fursa ya kuomba radhi akakaidi.Ngoja tuone magamba wenzake watamuokoaje.