NAPE avimbiwa na MAWAKILI

Juzi ktk mahojiano Star tv baina ya nape na tundu lissu kwa kweli Nape alikua akiongea kwa upole na huruma tofauti na awali nikagundua something is wrong somewhere.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
eti na wewe mleta mada ni great thinker! this is purely rubbish. huyo atakuwa si wakili. kunawalioua wazi tena kwa kuonekana lakini mawakili walijitokeza, hata marando anaenda kuwatetea wahujumu uchumi waliowazi kabisa.
 
eti na wewe mleta mada ni great thinker! this is purely rubbish. huyo atakuwa si wakili. kunawalioua wazi tena kwa kuonekana lakini mawakili walijitokeza, hata marando anaenda kuwatetea wahujumu uchumi waliowazi kabisi.
Kukubali au kukataa kesi ni uamuzi wa Wakili mwenyewe. Wewe ni Wakili? Mimi ni Wakili tangu 1992 na najua hivyo. Usijifanye unajua kila kitu Mkuu.
 
Mkuu Mzee Tupatupa badilisha kichwa cha habari ili habari yako iwe na maana zaidi "Nape akimbiwa na mawakili" au "Mawakili wamkacha Nape"
 
Last edited by a moderator:
hapo chacha ndio ukisikia mabaki ya yakula yanakonga nguo za ndani yanarudi juuuu tena?
 
Nape hawezi kukosa wakili. Wapo wengi wa kumwaga na nina hakika wapo wengi sana wanaotamani kumwakilisha. Tatizo ninaloona hapa ni uthibisho madai yake (Nape) kwamba CHADEMA wanapokea hela toka nchi za nje kwa makubaliani ya kuuza nchi/rasilimali. It is not that easy kuthibitisha haya madai mbele ya meza ya jaji.
 
CHADEMA mnahangaika sana na kesi hii.....poleni sana!




Wamwambia hawako tayari kumwakilisha kwenye shauri ambalo halina ushahidi wa kutosha. Ni katika kesi yake aliyofunguliwa na CHADEMA.Mawakili wamemshauri aombe samahani kwa CHADEMA.

Ni hivi: Katibu wa Uenezi na Itikadi wa CCM,Nape Nnauye amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kugomewa na Mawakili ili wamwakilishe kwenye shauri lake. Kampuni hiyo ya Mawakili ambayo ipo karibu na Kampuni yetu pale Posta jengo la PPF Tower ilimkatalia Nape kwakuwa hana ushahidi wa kutosha wa kupangua kesi iliyofunguliwa dhidi yake na CHADEMA kwa kusema kwake kuwa CHADEMA inahongwa kutoka nje na itauza nchi.

Safari ya kuelekea kwa Mawakili hawa ilitokea baada ya Nape kujibiwa na Mawakili wa CCM kuwa wako 'busy' na mashauri ya chama pamoja na hoja kuwa kesi dhidi yake ni ya binafsi zaidi na si ya ki-chama.'Aende akawaombe radhi CHADEMA.Hana ushahidi wa kutosha.Itakuwa ngumu kulindika Mahakamani. Tumemwambia wazi' walisema Mawakili hao.
 
mkuu siamini kama kuna wakili yoyote atakae kataa kesi kama ukimlipa vzr.
Naanza kupata wacwac na huu uzi.

hii kesi haitakua sawa na kesi zingine, mawakili hawakatai kesi ambazo sio maaru...sidhani kama kuna wakili atakubali kudhalilishwa na Lissu hadharani kwa kesi ambayo haina ushaidi.!!
 
Nilitegemea mawakili kwa kuwa wako kibiashara zaidi, wangekula hiyo hela ya Nape katika kumuwakilisha, ingawa wanajua kuwa hakuna ushahidi wa kumsaidia mteja wao!
 
Wamwambia hawako tayari kumwakilisha kwenye shauri ambalo halina ushahidi wa kutosha. Ni katika kesi yake aliyofunguliwa na CHADEMA.Mawakili wamemshauri aombe samahani kwa CHADEMA.

Ni hivi: Katibu wa Uenezi na Itikadi wa CCM,Nape Nnauye amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kugomewa na Mawakili ili wamwakilishe kwenye shauri lake. Kampuni hiyo ya Mawakili ambayo ipo karibu na Kampuni yetu pale Posta jengo la PPF Tower ilimkatalia Nape kwakuwa hana ushahidi wa kutosha wa kupangua kesi iliyofunguliwa dhidi yake na CHADEMA kwa kusema kwake kuwa CHADEMA inahongwa kutoka nje na itauza nchi.

Safari ya kuelekea kwa Mawakili hawa ilitokea baada ya Nape kujibiwa na Mawakili wa CCM kuwa wako 'busy' na mashauri ya chama pamoja na hoja kuwa kesi dhidi yake ni ya binafsi zaidi na si ya ki-chama.'Aende akawaombe radhi CHADEMA.Hana ushahidi wa kutosha.Itakuwa ngumu kulindika Mahakamani. Tumemwambia wazi' walisema Mawakili hao.
Hakuna kesi nikutafuta mlango wa kutokea............................Siku ikifika ukweli utajulikana!
 
Japokuwa sitaki kuamini sana hii habari lakini suala la wakili kukataa kesi lipo na ni suala la kawaida sana hasa kwa mawakili hodari, kwa sababu zifuatazo;

1/Msimamo wa wakili kwenye kesi anayotaka kuitetea(eg.dhamira,mgongano wa kimaslahi)

2/Gharama ya kesi(eg.muda,usumbufu,pesa,hatari,ujuzi)

3/Maelewano(eg. kuna client wao wanataka kuhakikishiwa ushindi tu hata kama hilo haliwezekaniki kabisa)

*Kifupi kesi za madai ni za makubaliano ya kibiashara zaidi kwa mawakili hivyo inahitaji ukweli zaidi na sio ujanja ujanja tu wa kisheria, ndio maana mtu yuko tayari hata kutumia mawakili wa kimataifa.
 
ni kwa wakili sam mapande maana yeye ndie wakili wa ccm yupo pale crdb azikiwe ghorofani
 
Km ni kweli, basi ni muhimu Nape akajifunza kuwa Lusinde wa Mtera anatosha kuwa kilele cha uropokaji ktk siasa za nhi hii. Asijiongeze kwenye orodha yenye rekodi mbaya kiasi hiki.
 
eti na wewe mleta mada ni great thinker! this is purely rubbish. huyo atakuwa si wakili. kunawalioua wazi tena kwa kuonekana lakini mawakili walijitokeza, hata marando anaenda kuwatetea wahujumu uchumi waliowazi kabisa.

Mshauri basi auone Marando, au hata wewe unaweza muona Marando kwa niaba ya Nape.
 
Back
Top Bottom