Mcheza Karate
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 690
- 350
Nape Nnauye ametua ktk studio za sauti ya Amerika(V.O.A) na kuzungumzia hali ya siasa ndani ya CCM.
Akiwa ameulizwa maswali ya mtego na uchokozi na mwandishi wa V.O.A Mary Mdoe kuhusu CCM kupoteza mvuto nape alikubali kuwepo kwa hali hiyo na kumtolea mfano Rostam kuwa alijiuzulu nafasi zake kwa kutekeleza maagizo ya NEC. Japo wakati akijiuzulu ubunge alitumia lugha ya "kisiasa"(kwa maelezo ya Nnape).
Kuhusu "wenzake" Nape alisema wanapeleka mswaada bungeni "kuzuia wafanyabiashara wasiwe wabunge"
CHANZO: Sauti ya Amerika (V.O.A)
Akiwa ameulizwa maswali ya mtego na uchokozi na mwandishi wa V.O.A Mary Mdoe kuhusu CCM kupoteza mvuto nape alikubali kuwepo kwa hali hiyo na kumtolea mfano Rostam kuwa alijiuzulu nafasi zake kwa kutekeleza maagizo ya NEC. Japo wakati akijiuzulu ubunge alitumia lugha ya "kisiasa"(kwa maelezo ya Nnape).
Kuhusu "wenzake" Nape alisema wanapeleka mswaada bungeni "kuzuia wafanyabiashara wasiwe wabunge"
CHANZO: Sauti ya Amerika (V.O.A)