MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Anaharibika ...laiti angejua njia ya kutokea asingepoteza muda wake hapo hata kama baba yake alikuwa huko...
Tatizo la huyu Bwana huwa anapenda kupigana huku amefumba macho..!
Both "mafisadi" and "adui yao namba1" are the same side of the same coin so in my opinion there are nothing like sides to choose from.Hatuwaungi mkono wanaoitwa mafisadi lakini pia hatumuungi mkono adui wao namba 1 Nape! Tuko upande gani?
Nape Nnauye ametua ktk studio za sauti ya Amerika(V.O.A) na kuzungumzia hali ya siasa ndani ya CCM.
Akiwa ameulizwa maswali ya mtego na uchokozi na mwandishi wa V.O.A Mary Mdoe kuhusu CCM kupoteza mvuto nape alikubali kuwepo kwa hali hiyo na kumtolea mfano Rostam kuwa alijiuzulu nafasi zake kwa kutekeleza maagizo ya NEC. Japo wakati akijiuzulu ubunge alitumia lugha ya "kisiasa"(kwa maelezo ya Nnape).
Kuhusu "wenzake" Nape alisema wanapeleka mswaada bungeni "kuzuia wafanyabiashara wasiwe wabunge"
CHANZO: Sauti ya Amerika (V.O.A)
Sasa CCM wanataka nani agombee ubunge? Kama wafanyabiashara watazuiwa, wafanyakazi serikalini nao wawekewe vizingiti nani agombee sasa? Nchi hii ina shida, unapomwona profesa wa chuo kikuu au kamishina wizarani wanaacha kazi zao kwenda kugombea ubunge jua iko shida. Miaka mitano ya ubunge unapata matibabu nje ya nchi, pensheni inazidi ya profesa au daktari bingwa aliyeokoa maisha ya maelfu ya watanzania kwa miaka 25. Kwa namna hii, kila mtu atataka awe mbunge. TUNATAKA KATIBA MPYA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
uNape anafanya kazi yake kama Katibu Mwenezi kwa ufasaha mkubwa. Amekuwa katibu mwenezi effective kuliko wote kwenye historia ya CCM kwa kipindi kifupi ambacho yupo pale. Anafanya kazi nzuri sana kupambana na mafisadi ndani ya CCM. Ni vita ngumu ambayo wenzake ndani ya CCM akiwemo Kikwete wote wanaiogopa na kukaa kimya wakimuacha yeye apambane peke yake.
Mtu yoyote anayepambana na ufisadi kama Nape anapaswa kuungwa mkono na Watanzania wote. Hata kama wewe ni mfuasi wa CHADEMA lazima umuunge mkono Nape kwa kazi nzuri ya kupambana na mafisadi kwani hili ni jambo la kitaifa na si la siasa za ushindani.
Endelea kupambana Nape, Watanzania tunakuunga mkono!
poly -means many tics-techniques mhhh....yetu macho tu
Hatuwaungi mkono wanaoitwa mafisadi lakini pia hatumuungi mkono adui wao namba 1 Nape! Tuko upande gani?
Ni kweli kabisa, lakini tatizo la Nape yeye anapambana na Mafisadi, wakati huohuo anapambana na wanaopinga ufisadi yaani CHADEMA. kwa hiyo lengo lake si bayanaNape anafanya kazi yake kama Katibu Mwenezi kwa ufasaha mkubwa. Amekuwa katibu mwenezi effective kuliko wote kwenye historia ya CCM kwa kipindi kifupi ambacho yupo pale. Anafanya kazi nzuri sana kupambana na mafisadi ndani ya CCM. Ni vita ngumu ambayo wenzake ndani ya CCM akiwemo Kikwete wote wanaiogopa na kukaa kimya wakimuacha yeye apambane peke yake.
Mtu yoyote anayepambana na ufisadi kama Nape anapaswa kuungwa mkono na Watanzania wote. Hata kama wewe ni mfuasi wa CHADEMA lazima umuunge mkono Nape kwa kazi nzuri ya kupambana na mafisadi kwani hili ni jambo la kitaifa na si la siasa za ushindani.
Endelea kupambana Nape, Watanzania tunakuunga mkono!
Haka jamaa kanakula posho za kidola dola baada ya kuona posho za madafu za kukampeni udiwani zimegoma, kameibukia USA. Nasikia kalienda kuhamasisha ushoga pale Houston. Njaa mbaya sana, unajikuta unafanya vitu, au unaongea mambo ambayo nafsi yako haikubaliani nayo kabisa. Ukitoka US nenda kwa Kameruuuni pale No10 downing street.Nape Nnauye ametua ktk studio za sauti ya Amerika(V.O.A) na kuzungumzia hali ya siasa ndani ya CCM.
Akiwa ameulizwa maswali ya mtego na uchokozi na mwandishi wa V.O.A Mary Mdoe kuhusu CCM kupoteza mvuto nape alikubali kuwepo kwa hali hiyo na kumtolea mfano Rostam kuwa alijiuzulu nafasi zake kwa kutekeleza maagizo ya NEC. Japo wakati akijiuzulu ubunge alitumia lugha ya "kisiasa"(kwa maelezo ya Nnape).
Kuhusu "wenzake" Nape alisema wanapeleka mswaada bungeni "kuzuia wafanyabiashara wasiwe wabunge"
CHANZO: Sauti ya Amerika (V.O.A)
hamna kitu hapo bure kabisa, akifika Newyork ntajitahidi nimvae uso kwa uso ili nimweleze jinsi anavyojidhalilisha
Hatuwaungi mkono wanaoitwa mafisadi lakini pia hatumuungi mkono adui wao namba 1 Nape! Tuko upande gani?