Watanzania sio wakudanganyika na siasa chafu za ccm
Nape ni vuvu zela
chdema itakufa gafla
Namuona shemeji josephine hapa ,hebu atueleze kwa nini ameisaliti ndoa yake ameenda kuvunja ndoa ya mwenzake kwa kuzini na mume wa mtu hadi leo.ni hayo tu.
Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.
Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.
NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube
Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.
Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.
NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube
Kwasababu wewe haujazini anza kurusha mawe! Au unataka tukuokotee?Ironically adhabu ya kupigwa mawe hadi ufe anastahili mwanamke aliyeolewa akaenda kuzini nje ya ndoa.
Hivi nape anapotoa matamko kama haya huwa anafikiri kwa kutumia nini?Ni nani alie wapiga machemli na kiwia mbele ya polisi wao mpaka kutka kuwaua,Nani alimuua kada wa chadema igunga,Nani alimuua m/kti wa chadema useriver,Nani kateka daktari na kudhani wamemuua kisha kumtupa mabwe pande,Ninani wanao wekeana sumu wao kwa kwao ukitafakari haya utajua gaidi ni nani na sio kupayuka tu kwanu ni kujidhalilishaKwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.
Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.
NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube