JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 526
- 583
Kama ungeuona ule waraka ungeelewa kila kitu, umafia upandikizaji sumu, na chuki ndani ya jimbo la Iramba pamoja na uovu mwingine nchini ulikua umeadhimiwa kwa pamoja na viongozi wa CHADEMA, kwenye kikao cha ndani kilichafanyika nyumbani kwa Mbowe Mikocheni na Rwakatare ndiye aliyepewa jukumu hilo na aliitekeleza kwa Kadri walivyokubaliana yaani kuhakikisha watu wanajeruhiwa na wengine wanakufa kama ilivyotokea jana, bahati mbaya sana MODs waliupuuza na kuundoa ule waraka ulioasisi mkakati huo.
CHADEMA Mnatupeleka wapi? Msituvurugie amani yetu kwa tamaa ya madaraka
kuna mijitu mingine inaweza kusababishia ban ya mwaka. Unamjua Lwakatare ni nani wewe?