Waraka mlioandaa baada ya kuandaa mikakati ya mauaji; waraka mlioandaa kuhalalisha mauaji!!. Haitawasaidia! Damu ya watu inayomwagika itawahukumu.
Mungu mwenye haki anawajua wenye haki wake.
CCM die now; let my people live.
Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.
Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.
NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube
Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.
Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.
NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube
we dada/mama, waraka unaoongelewa ni ule uliovuja toka kamati kuu ya CDM, sijui una maanisha nini unapose''''waraka mlioandaa baada ya kuandaa mikakati ya mauaji''''''!!!!!!! zindukaWaraka mlioandaa baada ya kuandaa mikakati ya mauaji; waraka mlioandaa kuhalalisha mauaji!!. Haitawasaidia! Damu ya watu inayomwagika itawahukumu.
Mungu mwenye haki anawajua wenye haki wake.
CCM die now; let my people live.
Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.
Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.
NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube
He! akili ni nywele ......, kwahiyo ugaidi wa CHADEMA unajidhihirisha katika nini? katika katiba yao? katika sera zao? au kwa kuwa ni chama chenye nguvu kinachoipa jakamoyo kibibi CCM? maana labda ukiipa jakamoyo CCM basi unakuwa Gaidi,Mdini, mtu wa kanda n.k
Askari Polisi waliotoa ushahidi wao katika kesi ya Ndago wamedai kuna kiongozi wa CCM alitekeleza mauaji katika eneo lile na waliokamatwa kuhusika na tukio lile wooooote wamesimamiwa dhamana na CCM.
CHADEMA kimekuwa ni chama cha Kigaidi tangu lini? je mnataka kuitangazia Dunia kuwa watanzania ni magaidi? pamoja na serikali yao? na kuwa tutengwe na kuogopwa kwa kuwa ni magaidi? maneno ya hofu ya kupoteza uongozi wa nchi yasitufanye tukashindwa kuijenga nchi yetu jamani tuwe makini kwa kauli zetu sidhani kama Tanzania ina ubavu wa kuhimili misukosuko ya kigaidi kama itakuwepo na tusiipalilie au kuijenga katika fikra za watoto wetu.
ama kweli UCHI WA AKILI NI MBAYA ZAIDI KULIKO UCHI WA MWILI
we dada/mama, waraka unaoongelewa ni ule uliovuja toka kamati kuu ya CDM, sijui una maanisha nini unapose''''waraka mlioandaa baada ya kuandaa mikakati ya mauaji''''''!!!!!!! zinduka