Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
usije ukamsababishia dege dege lakini!
itakuwa yy utoto wake ingawa alkuwa wa kishua ubongo wake uliathirika pepopunda na polio..
usije ukamsababishia dege dege lakini!
nakuunga mkono kwenye majina ila kwenye kuzomewa kwa nape ni ukweli na wewe si ulikuwa gamba la kuvuliwa kule arusha?Ndugu zangu,
Jamii Forum ni social platform yenye heshima sana. Ni sehemu ambayo watu tumezoea kupata mambo ya msingi sana ikiwa ni pamoja na mijadala yenye masilahi kwa Taifa letu.
Lakini kwa mtiririko wa sasa kwa baadhi ya watu kutupia tu habari ili mradi wawe hewani siku hiyo si jambo jema na wala halina afya kwa forum hii. Tabia hii tusipo ikemea mapema itapelekea forum hii kupata taswira ya udaku kitu ambacho binafsi nisingependa kamwe.
Ushauri wangu ni kwamba watu watumie majina yao halisi humu maana naamini itawasaidia kutafakari kabla ya kuandika chochote. Vinginevyo itakuwa ni udaku form kitu ambacho forum kubwa kama hii haitafanana nayo.
Kama huu uongo wa mchana kweupe kabisa eti Nnape kazomewa Serengeti.
Nawasilisha.
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....
ndugu zangu,
jamii forum ni social platform yenye heshima sana. Ni sehemu ambayo watu tumezoea kupata mambo ya msingi sana ikiwa ni pamoja na mijadala yenye masilahi kwa taifa letu.
Lakini kwa mtiririko wa sasa kwa baadhi ya watu kutupia tu habari ili mradi wawe hewani siku hiyo si jambo jema na wala halina afya kwa forum hii. Tabia hii tusipo ikemea mapema itapelekea forum hii kupata taswira ya udaku kitu ambacho binafsi nisingependa kamwe.
Ushauri wangu ni kwamba watu watumie majina yao halisi humu maana naamini itawasaidia kutafakari kabla ya kuandika chochote. Vinginevyo itakuwa ni udaku form kitu ambacho forum kubwa kama hii haitafanana nayo.
Kama huu uongo wa mchana kweupe kabisa eti nnape kazomewa serengeti.
Nawasilisha.
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....
Nje cup hiyo!kuuliza sio ujinga.hivi wewe ni mtoto wa mzee wetu Mosses Nnauye?mbona akili zako tofaut na nilivyomfahamu marehem,
Kwani mlielewana a-posti saa ngapi au ulimtuma kwamba mara tu mkutano wa Nape kwisha lazima a-post, mara nyingi magazeti hutoa habari ya jana yake hatujakusikia ukilalamika ni heri ya huyu kaacha usingizi wake kutuhabarisha inabidi tumpongeze.Hii habari imepostiwa saa 6 usiku kwa saa za bongo. Ulikuwa wapi kupost tangu muda wa tukio? Au mkutano ulivunjika usiku? Hii source siiamini kabisa
Kiongozi wa taifa badala ya kulinganisha sera unalinganisha ukubwa wa mikutano, halafu hujakana kuzomewa na mkutano wako kuvunjika inawezekana kuwa kweli pole sana.Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....
Igwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....
Nje cup hiyo!
Jibu swali ulizomewa hukuzomewa huwezi kwa namna yeyote ile ukazidi mkutano wa Chadema,propaganda zio zilizokushusha hadhi nakumbuka niliwahi kuandika post moja nikikuonea huruma jinsi ulivyomalizwa kisiasa umeingia kwenye kasri ya kusema uongo wewe ni muongo kama mwenyekiti wako Jakaya Mrisho Kikwete,Katibu wako Mkuu MUkama na watendaji wa serikali yako akina LUhanjo,Jairo,Ngereja Pinda n.k Nape wewe sasa hivi umekuwa mmwagaji uharo wa maneno Pole MzeeIgwa,
WATAKA WATU WAKUIGE KWA UONGO??? KUJIFARIJI HUMU NDIKO KUNAKOANGAMIZA BAADHI YA VYAMA VYA UPINZANI. UKWELI HATA KAMA UNAUMA NI BORA KUUCHUKUA KAMA ULIVYO.... KUWA MKWELI, JANA KAFANYA MBOWE HAPA UWANJA HUUHUU WAAMBIE UKWELI WENZIO JINSI MKUTANO WANGU ULIVYOZIDI WA MBOWE KWA MBALI SANA NA JINSI WATU BAADA YA KUSIKIA UKWELI WALIVYO REACT KWA CDM....