Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
aiseee hivi jamaa hakati tamaa??ana roho ngumu kama paka
anafungu la kutosha hajutii lolote,
aiseee hivi jamaa hakati tamaa??ana roho ngumu kama paka
we muacha atashikwa na kesi ya kubaka vitoto muda si mrefu
Wadau nape anawahonga watoto...!
View attachment 31419
Wadau nape anawahonga watoto...!
View attachment 31419
Duh ccm kwisha kazi ina maana hiyo ndio audience yao?
dah, innocent kidHuyu nae anaelekea kwenye mkutano!!! Sijui huyu ni mkubwa??
dah, innocent kid
Ningekuwepo hapa sijui kama angeikuta Simu na waleti yake kudadek!
Umemuona alivopendeza??, Na unaona afya yake??, Katupia Kitu cha Gwanda kiatu po na anaonekana anamawazo endelevu,
Wale watoto wa kwa nape wameka na mawaaazo sana, na walikuja na Msafara wa Matarumbeta hawakujua inachoendelea lakini huyo unaona anajua anachokifuata!
Nape ana akili za kitoto
Hivi anawapa nini?
tehetehee anawapa nape anawapa nepi watoto,
masikini, alikuwa wapi hapa?
Tehe tehe teheeeh!! Ukada kaaazi.....!!!katavi = vitaka aka vitrash