Ama kweli ujinga hauondolewi na taji/cheo (the crown does not change the mind). Nape ni mfano wa mtu mwenye cheo lkn mjinga.
Kauli kwamba "Lisu alikimbia nchi halafu Rais Samia kamrudisha",...." rais karuhusu maandamano" ....ni kauli zinzothibitisha jinsi Nape asivyo na uelewa wowote kuhusu katiba.
Kwa kumsaidia tu huyu Nape ni hivi, Katiba ndiyo msingi wa tawala zote duniani. Kilichofanyika awamu ya tano ni uvunjifu wa katiba na ndiyo sababu rais wa awamu ya tano aliitwa dikteta.
Kwahiyo hakuna maana yoyote kumshukuru Samia kwa kuheshimu katiba. Huu ndiyo wajibu wake wa msingi na aliapa kufanya hivyo. Kinachofanywa na Nape ni kiashiria cha hulka iliyopo ndani yake ya kupenda kuendesha mambo kidikteta.
Nape aonywe na akemewe.
#NchiNiYetuSote!
Pia soma
- Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani
Kauli kwamba "Lisu alikimbia nchi halafu Rais Samia kamrudisha",...." rais karuhusu maandamano" ....ni kauli zinzothibitisha jinsi Nape asivyo na uelewa wowote kuhusu katiba.
Kwa kumsaidia tu huyu Nape ni hivi, Katiba ndiyo msingi wa tawala zote duniani. Kilichofanyika awamu ya tano ni uvunjifu wa katiba na ndiyo sababu rais wa awamu ya tano aliitwa dikteta.
Kwahiyo hakuna maana yoyote kumshukuru Samia kwa kuheshimu katiba. Huu ndiyo wajibu wake wa msingi na aliapa kufanya hivyo. Kinachofanywa na Nape ni kiashiria cha hulka iliyopo ndani yake ya kupenda kuendesha mambo kidikteta.
Nape aonywe na akemewe.
#NchiNiYetuSote!
Pia soma
- Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani