jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
- Thread starter
- #61
Chama Cha Magamba Mtaua watoto wa watu mwaka huu kwa hizo pipi zenu..!Hapo kwenye red..kesho wekeni alafu sememi mnawapenda watoto au sio..!?Yaani hii heading ni perfect kuuza katika magazeti ya Uhuru na Mzalendo. Eti kahonga watoto lol...kweli mmechoka kama nyayo/vikanyagio zenu/vyenu zilivyochoka/vilivyochoka