kwani wamelalamika..halafu usipende kurukia kila kitu mshamba wewe..
kwani wamelalamika..halafu usipende kurukia kila kitu mshamba wewe..
Anyway, kwanini afungulie kwa sauti ya juu. Atakuwa anawasumbua abiria.[/
nani amekwambia abiria wamelalamika, kama siyo kujishuku tu
Anyway, kwanini afungulie kwa sauti ya juu. Atakuwa anawasumbua abiria.[/
nani amekwambia abiria wamelalamika, kama siyo kujishuku tu
Abiria hawakuona kosa la dereva ndio maana walimtetea. Afterall alikuwa amefungua redio station moja hapa mjini. Ni ujinga wa polisi wa kufanya mambo eti kwasababu tu wametumwa/wameagizwa/ wameamriwa!
Polisi wa bongo akili zao zimejaa makonokono, vinyonga, kumbikumbi, kobe na mikia ya kondoo ndio maana hawawezi kufikiria
Wewe bilashakani ccm akiliyako inafanana na ya hao police mzemzima akili hamna au wewe ni zubeda au maleria sugu kama huna chakusemja kaa kimya una chafua ukurasa wa jf
DWL!JF kuna mambo,crashwise umenichekesha kweli.kwani wamelalamika..halafu usipende kurukia kila kitu mshamba wewe..
Tuwekeeni huo wimbo basi ama hata mashairi.JF ni international jamani.