ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,938
- 91,058
Hivi starlet ina old na new model?tafuta starlet old model mkuu hautajuta
Hivi starlet ina old na new model?tafuta starlet old model mkuu hautajuta
VW GOLF au POLO. Gari nzuri sana kwa familia ndogo.namba 2 ni vw golf
Nahitaji ushauri kaka pesa sio tatizo sana
Nunua Mini Cooper S.Nahitaji ushauri kaka pesa sio tatizo sana
Mtu ana familia ya watu wa nne halafu anataka baby walker?!! Imagine watu wanne ndani ya Passo. Ukute yeye na mkewe wote heavy weight hicho kigari kitakufa mapema sana kwasababu kila siku kinakuwa over loaded.una uhakika? maana sio kwa maneno haya...
Haya bana..ushauri wangu kanunue AUDI kati ya A1 - A3
uchumi ukibana..nunua COOPER
ila wewe kwa mbwembwe zako nunua tu VITZ ukitaka durability tafuta STARLET Zenji benji nzuri kabisa...
Hizo Rush ni very expensive mkuu. Na sijajua kwanini ghali sana. Bora ajaribu Toyota Camry nayo inafanana tu na Rush ila ni nafuu sana iko juu na ni 4WD.Mkuu,kwa vigezo vyako naona options ni hizi;
1. Toyota Rush (1490cc)
2. Suzuki Jimny (660cc) -za kuanzia mwaka 2000+
3. Mitsubish Pajero mini (660cc) -za kuanzia mwaka 2000+
Tatizo uwezo wetu ni mdogo kiongozi. Naona wengi sasa ni magari madogo tu, jiji la Dar limesheheni hizo 'baby walkers' aisee.Mtu ana familia ya watu wa nne halafu anataka baby walker?!! Imagine watu wanne ndani ya Passo. Ukute yeye na mkewe wote heavy weight hicho kigari kitakufa mapema sana kwasababu kila siku kinakuwa over loaded.
Ukiwa na familia baby walker hazifai.
A normal family car ni ile ambayo watu kuanzia watano wanakaa bila kubanana. Passo,vits,starlet hazifai kwa familia. Ni ndogo sana kwa size ya bodi na engine.Tatizo uwezo wetu ni mdogo kiongozi. Naona wengi sasa ni magari madogo tu, jiji la Dar limesheheni hizo 'baby walkers' aisee.
Achana na hayo magari ya watoto wa kike, nakushauri bora uchukue carina TI au rav 4TOYOTA passo show room bei gani kaka kama unajua
Mtu ana familia ya watu wa nne halafu anataka baby walker?!! Imagine watu wanne ndani ya Passo. Ukute yeye na mkewe wote heavy weight hicho kigari kitakufa mapema sana kwasababu kila siku kinakuwa over loaded.
Ukiwa na familia baby walker hazifai.
Mkuu toyota jimny is very expensive, labda uchukue yenye odometer 100,000 +..Mkuu,kwa vigezo vyako naona options ni hizi;
1. Toyota Rush (1490cc)
2. Suzuki Jimny (660cc) -za kuanzia mwaka 2000+
3. Mitsubish Pajero mini (660cc) -za kuanzia mwaka 2000+
hivi mkuu ulaji wamafuta kwa hiZ gar ukoje? naombeni msaadaVW GOLF au POLO. Gari nzuri sana kwa familia ndogo.
Cooper inauzwaje aiseeeuna uhakika? maana sio kwa maneno haya...
Haya bana..ushauri wangu kanunue AUDI kati ya A1 - A3
uchumi ukibana..nunua COOPER
ila wewe kwa mbwembwe zako nunua tu VITZ ukitaka durability tafuta STARLET Zenji benji nzuri kabisa...
Starlet glanzaHivi starlet ina old na new model?
Bei gan iyo
Hii gari ni ngumu sana hutojuta.
Spare zake zapatikana
watakuletea mpaka nlangoni
Hi, nataka kununua tax, kwa ajili ya biashara je ni gari ipi inafaa na kwa bei ganiMtoa mada kuandika bageti yako ni kitu muhimu sana ili watu wakushauri. Hizo gari min imara na zinazokula mafuta vizuri,unaweza pata kuanzia m8 hadi m90.
Nakukadiria bajeti yako ni kati ya m8 hadi m12
1) Toyota carina Ti
2)Vw gulf
3)Toyota ist
4)Toyota Raum
5)Toyota rav4 chini ya mwaka 1999 na iwe milango mitatu.
Waliokushauri kuhusu passo nachelea kusema ni gari nyepesi sana kwa barabara zetu inachakaa mapema.
Kuhusu starlet ni kweli ni gari imara ila sikushauri ununua mana hizi gari zimesimamishwa kutengenezwa muda mrefu sana hivo spea zake hususani upande wa bodi ni adimu kidogo.
Umeanza vzr lkn naona umeshaanza tambo sasa kama sio tatizo kanunue yoyote itakayokutosha ww na familia hata bajaj c mnaeneaNahitaji ushauri kaka pesa sio tatizo sana
2017 MINI CooperBei gan iyo