Naombeni ushauri 'Mini car' gani ya kununua

Habari za jioni wana JF,

Kwa zingatia hali halisi ya mazingira nimejibanabana katika mihangaiko yangu ya muda mrefu nimepata fedha kiasi fulani cha kununua kagari ka kutembelea ili kanisaidie mimi na familia yangu ya watu 4.

Naombeni uzoefu wenu juu ya hizi mini car. Je ni magari yapi ni imara na yanatumia mafuta kwa kiasi kidogo na spare zake zinapatikana kwa urahisi?

Natanguliza shukrani kwa ushauri


kabla ya kununua angalia baadhi ya mambo kama, uchumi wako ukoje, mazingira unayoishi, mazingira unayopendelea kwenda, kazi unazozifanya, mahitaji hasa ni yapi, na je gari hilo ni kwa matumizi ya kipindi gani
 
images

Hii gari ni ngumu sana hutojuta.
Spare zake zapatikana
watakuletea mpaka nlangoni
Ivi Mini cooper Bei inakwendaje aseee kwa apa bongo
 
chukua toyota spacio 12million , imported ndo nzuri inakuwa haijachakachuliwa vifaa na odometer

Karibu Autocom Japan Tanzania limited, used car exporters, kwa magari Aina zote toka Japan kwa bei rahisi na ubora WA Hali ya juu, karibu offisini kwetu Quality center mall - Pugu road contact us 0674518707
Email : msuya@autocj.co.jp
Website : autocj.co.jp/used_cars
 

Attachments

  • 284555-01.jpg
    284555-01.jpg
    30.2 KB · Views: 78
  • 284555-02.jpg
    284555-02.jpg
    29.5 KB · Views: 74
  • 284555-08.jpg
    284555-08.jpg
    28.5 KB · Views: 77
  • 284555-09.jpg
    284555-09.jpg
    28.4 KB · Views: 76
  • 284555-14.jpg
    284555-14.jpg
    29.5 KB · Views: 78
  • c4251a3a-f8e3-4ea2-ac21-eceaca31bac1.jpg
    c4251a3a-f8e3-4ea2-ac21-eceaca31bac1.jpg
    37.6 KB · Views: 75
Back
Top Bottom