wow! Glory to almight God! hongera sana kaka mungu ni mwema! Mpe hongera ur wife pia,namtakia mtoto maisha marefu yenye baraka tele,mungu amlinde na kumpatia afya njema! Mungu awapatie afya njema na hekima awawezeshe kumlea vizuri! Hongera kwa kuwa baba!
Mh! Mandieta unanifanya nicheke sana mpaka mtoto analia.
Hana mpango wa kuishi Bongo?Kwa nini asiwe AMANI?