Andrew Nyerere: Ukimpa mtoto peremende hakikisha anamsifu na kumshukuru Mungu

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,103
22,547
Salaam, Shalom.

Mwenyezi Mungu amembariki ndugu Andrew Nyerere BUSARA zilizonifanya kuanzisha Uzi huu wa Leo kuongeza msisitizo juu ya umuhimu wa kuogopa kuchukua sifa za Mungu.

Jiulize kwanini wengi wanapoteza ndugu zao waliowategemea bila kujua kuwa sifa mlizokuwa mkimimina kwake ndizo zilizofupisha uhai wake.

Unakuta mtu anasema, "Mama yangu ndio Kila kitu katika Maisha YANGU", hazipiti siku miezi au miaka michache Mama anaaga Dunia.

Mwingine ana ndugu ambaye amejaliwa moyo wa kheri, anayesaidia ndugu, ukoo na JAMII inayomzunguka, watu Badala ya kumshukuru Mungu, utasikia, " James ndiye tegemeo katika ukoo wetu", Mungu anasahaulika, utukufu anapewa mwanadamu, msilolijua, Kwa kumpa utukufu mtu Badala ya Mungu, mnafupisha uhai wa mnaemsifia.

Marehemu Magu alipofanikiwa Kwa haraka katika KAZI alizozifanya katika kuwatumikia wananchi, watu Badala ya kumshukuru Mungu, wakaanza kumpa sifa mtu Badala ya Mungu, hili ni jambo baya.

SOLUTION.

1. Ukifanikiwa katika jambo lolote, Sema, Asante Mungu Kwa kunipa utajiri, Ahsante Mungu kunipa watoto wenye AKILI, Sema, Mungu ndiye sababu ya Mimi kujenga nyumba nzuri nk nk nk. Kamwe usijisifu na kujipa utukufu aliopaswa kupewa Mungu.

2. Kemea mara Moja watu wanaokupa sifa zisizokustahili, Mtu akikwambia, wewe ni mzuri sana, Sema, Ni Mungu ndiye aliyeamua niwe hivyo, akikwambia wewe ni daktari Bora kuliko madaktari wote, mjibu kuwa, yote ni Kwa Neema ya Mungu.

Angalizo:( Isaya 42:8) Mimi ni BWANA, ndilo JINA langu, utukufu wangu sitampa mwingine, Wala sitawapa sanamu sifa zangu.

Mungu awabariki.

Amen
 
Unawaambia vipi wasiomuamini Mungu ?

Nadhani busara ya kuweza kuishi na watu wa aina mbalimbali ni kila mtu kuishi kadri ya weledi wake (so long as sheria haivunjwi wala sio kero kwa wengine)... - Ingawa point ya maana hapo ni kushukuru na kuwa myenyekevu tena shukuru aliyekupa sio mtu ana kiu mpo jangwani wewe una nusu lita yako ya maji yamebaki unampa alafu anaanza kutoa mahubiri ya kumshukuru Muumba wake (Hapo inabidi umuulize Muumba wako alikuwa wapi wakati tunaingia kwenye hii dhoruba)

To each his / her own....
 
Unawaambia vipi wasiomuamini Mungu ?

Nadhani busara ya kuweza kuishi na watu wa aina mbalimbali ni kila mtu kuishi kadri ya weledi wake (so long as sheria haivunjwi wala sio kero kwa wengine)... - Ingawa point ya maana hapo ni kushukuru na kuwa myenyekevu tena shukuru aliyekupa sio mtu ana kiu mpo jangwani wewe una nusu lita yako ya maji yamebaki unampa alafu anaanza kutoa mahubiri ya kumshukuru Muumba wake (Hapo inabidi umuulize Muumba wako alikuwa wapi wakati tunaingia kwenye hii dhoruba)

To each his / her own....
Wasiomwamini Mungu, wanatakiwa wamwamini Mungu,

Ni sawa tu na wewe Logikos udai kuwa huna baba sababu Eti hujawahi kumwona tangu kuzaliwa, huo ni Ujinga tu,

Ukielimishwa utaelewa.
 
Wasiomwamini Mungu, wanatakiwa wamwamini Mungu,
Huo ni mtazamo wako na sio wao; na tukianza / mkianza kushurutishana huenda mkawa Kero kwa mtu Baki..., Na Mungu yupi wa kumuamini wa Wayahudi, wa Mababu zako Krishna au Miungu tofauti kulingana na Kazi zao
Ni sawa tu na wewe Logikos udai kuwa huna baba sababu Eti hujawahi kumwona tangu kuzaliwa, huo ni Ujinga tu,

Ukielimishwa utaelewa.
Hapo wewe ndio utakuwa hauelewi Moja kwanza itabidi ijulikane Baba ni nini Sperm Donor au aliyekulea na kuhakikisha maisha yako...., na kama ni sperm donor utaongelea vipi cloning (theoretically possible); Hivyo hapo unaweza kuona kwamba huenda wewe unayedhani unajua ndio haujui....
 
Logical non sequitur.

Ukisema wasiomwamini Mungu wanatakiwa wamuamini Mungu, hiyo si hoja ya kimantiki.

Unafungua mlango kwa wasiomuamini Mungu kusema wanaomuamini Mungu wanatakiwa kumuamini Mungu.

Hiyo habari ya kumlinganisha Mungu na baba, yeye kajuaje baba ni Mungu na si kingine chochote? Mungu gani? Kuna maelfu ya miungu, kila utamaduni una Mungu wake. Kwa nini huyo?

Anaelewa kwamba hoja kwamba complex intelligenve ninkazima iwe imeumbwa na even more complex intelligence inatuonesha Mungu muumbanyote hayupo na hawezi kuwepo?

Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

The problem of evil, particularly Epicurean paradox, exposes that.

Tatizo, watu hawa wanaotetea hoja za kuwepo Mungu wanajua kusoma kwa ufahamu? Wamesoma falsafa? Wamesoma kitabu gani zaidi ya Biblia na Quran tu, ambavyo hata hivyo hawavielewi vizuri, kwa sababu wangevielewa wangeona mapungufu yake?

Au wanabisha kwa style ya "muwamba ngoma huvutia kwake" tu?
 
Salaam, Shalom.

Mwenyezi Mungu amembariki ndugu Andrew Nyerere BUSARA zilizonifanya kuanzisha Uzi huu wa Leo kuongeza msisitizo juu ya umuhimu wa kuogopa kuchukua sifa za Mungu.

Jiulize kwanini wengi wanapoteza ndugu zao waliowategemea bila kujua kuwa sifa mlizokuwa mkimimina kwake ndizo zilizofupisha uhai wake.

Unakuta mtu anasema, "Mama yangu ndio Kila kitu katika Maisha YANGU", hazipiti siku miezi au miaka michache Mama anaaga Dunia.

Mwingine ana ndugu ambaye amejaliwa moyo wa kheri, anayesaidia ndugu, ukoo na JAMII inayomzunguka, watu Badala ya kumshukuru Mungu, utasikia, " James ndiye tegemeo katika ukoo wetu", Mungu anasahaulika, utukufu anapewa mwanadamu, msilolijua, Kwa kumpa utukufu mtu Badala ya Mungu, mnafupisha uhai wa mnaemsifia.

Marehemu Magu alipofanikiwa Kwa haraka katika KAZI alizozifanya katika kuwatumikia wananchi, watu Badala ya kumshukuru Mungu, wakaanza kumpa sifa mtu Badala ya Mungu, hili ni jambo baya.

SOLUTION.

1. Ukifanikiwa katika jambo lolote, Sema, Asante Mungu Kwa kunipa utajiri, Ahsante Mungu kunipa watoto wenye AKILI, Sema, Mungu ndiye sababu ya Mimi kujenga nyumba nzuri nk nk nk. Kamwe usijisifu na kujipa utukufu aliopaswa kupewa Mungu.

2. Kemea mara Moja watu wanaokupa sifa zisizokustahili, Mtu akikwambia, wewe ni mzuri sana, Sema, Ni Mungu ndiye aliyeamua niwe hivyo, akikwambia wewe ni daktari Bora kuliko madaktari wote, mjibu kuwa, yote ni Kwa Neema ya Mungu.

Angalizo:( Isaya 42:8) Mimi ni BWANA, ndilo JINA langu, utukufu wangu sitampa mwingine, Wala sitawapa sanamu sifa zangu.

Mungu awabariki.

Amen
Kwanza kabisa, thibitisha huyo Mungu yupo.
 
Salaam, Shalom.

Mwenyezi Mungu amembariki ndugu Andrew Nyerere BUSARA zilizonifanya kuanzisha Uzi huu wa Leo kuongeza msisitizo juu ya umuhimu wa kuogopa kuchukua sifa za Mungu.

Jiulize kwanini wengi wanapoteza ndugu zao waliowategemea bila kujua kuwa sifa mlizokuwa mkimimina kwake ndizo zilizofupisha uhai wake.

Unakuta mtu anasema, "Mama yangu ndio Kila kitu katika Maisha YANGU", hazipiti siku miezi au miaka michache Mama anaaga Dunia.

Mwingine ana ndugu ambaye amejaliwa moyo wa kheri, anayesaidia ndugu, ukoo na JAMII inayomzunguka, watu Badala ya kumshukuru Mungu, utasikia, " James ndiye tegemeo katika ukoo wetu", Mungu anasahaulika, utukufu anapewa mwanadamu, msilolijua, Kwa kumpa utukufu mtu Badala ya Mungu, mnafupisha uhai wa mnaemsifia.

Marehemu Magu alipofanikiwa Kwa haraka katika KAZI alizozifanya katika kuwatumikia wananchi, watu Badala ya kumshukuru Mungu, wakaanza kumpa sifa mtu Badala ya Mungu, hili ni jambo baya.

SOLUTION.

1. Ukifanikiwa katika jambo lolote, Sema, Asante Mungu Kwa kunipa utajiri, Ahsante Mungu kunipa watoto wenye AKILI, Sema, Mungu ndiye sababu ya Mimi kujenga nyumba nzuri nk nk nk. Kamwe usijisifu na kujipa utukufu aliopaswa kupewa Mungu.

2. Kemea mara Moja watu wanaokupa sifa zisizokustahili, Mtu akikwambia, wewe ni mzuri sana, Sema, Ni Mungu ndiye aliyeamua niwe hivyo, akikwambia wewe ni daktari Bora kuliko madaktari wote, mjibu kuwa, yote ni Kwa Neema ya Mungu.

Angalizo:( Isaya 42:8) Mimi ni BWANA, ndilo JINA langu, utukufu wangu sitampa mwingine, Wala sitawapa sanamu sifa zangu.

Mungu awabariki.

Amen
mwambie na yule mwenyekiti wa chadema kanda ya kaskazini.
mwanzo alikua mnyang"anyi, alipookoka hivi sasa anatamani nafasi ya Mungu...
 
Back
Top Bottom