Kuwapeleka boarding sio solution. Kikubwa hapa ni kuwaelimisha hawa watoto wapate kufahamu ni kosa kufanya hivyo na kuwaadhibu pia kusudi kesho na keshokutwa wajue ni kosa. Ukiwapeleka boarding mbona nako ni sawa tu wanaweza wakaendeleza halafu ikawa balaa. Mzazi aombe msaada wa watu wazima wakae na watoto wawaelimishe. Ni wazo tu.Wana JF,
Kuna jirani yangu, mdada wa makamo ana watoto wawili wa kiume wa kuzaa mwenyewe na mmoja wa kiume wa ndugu yake anaishi nao huko boko. Amewafumani jana wakiwa wanafanya mchezo mchafu kwa zamu. Umri wao ni kati ya miaka 8 mpaka 11.
Anaomba ushauri juu ya nini cha kufanya maana anaona ibilisi mbaya ameingilia familia yake. Mawazo yake ni kuwa awatenganishe, kuwahamisha shule au awapeleke boarding au .....
Ni urgent unahitaji ushauri wa haraka.
HP
awapeleke polisi wakale mikwaju taaslim.. Halafu awatenganishe.. Tena if pocbo awapeleke kwa ndugu wa vijijini kabisa iwe kama adhabu kwao... All in all.. Angalia na chanzo.. S'tymz watoto hu'reflect kwa wazazi wao, kibaya umfanyiacho mwenzio akaumia nawe kitakurudia siku moja uumie pia
zis iz new generation.kuna kitoto kinaitwa jose cha miaka4 kilikuwa kinawashughulikia watoto watatu wa kike daily tena kwa zam na hata kakichapwa kalikuwa hakasikii.mwisho wa siku mama mwenye vibint viwil mapacha aliamua kupeleka wanae iringa.
zis iz new generation.kuna kitoto kinaitwa jose cha miaka4 kilikuwa kinawashughulikia watoto watatu wa kike daily tena kwa zam na hata kakichapwa kalikuwa hakasikii.mwisho wa siku mama mwenye vibint viwil mapacha aliamua kupeleka wanae iringa.
awapeleke polisi wakale mikwaju taaslim.. Halafu awatenganishe.. Tena if pocbo awapeleke kwa ndugu wa vijijini kabisa iwe kama adhabu kwao... All in all.. Angalia na chanzo.. S'tymz watoto hu'reflect kwa wazazi wao, kibaya umfanyiacho mwenzio akaumia nawe kitakurudia siku moja uumie pia