Are these your philosophies???!!!!kabla sijaendelea tuhakikishie ya kuwa hizi nazo siyo porojo..............................once a winker always a winker.............analogically remains once a story teller always a story teller.....................................
hizi kumbukumbu zaonyesha moyo wako unakopigia..........................si u-pm tu halafu utajua kama ndoto zako zimetimia au zina walakini............
Nita ku pm bwana nikuelekeze manake humu kuna mulangila wa bk rutashubilwanyuma kanianadama kweli unaona kesha exaggerate eti mimi kwa kukusema ulivyovaa siku hile keshasema moyo wangu umelalia hapo sijui ana matatizo gani jamani kha!he!!.......kweli uliniona....haa....wewe ndio ulikuwa na lile gari la kijani?
usikwepe kujibu hoja za kimsingi.........................mimi sitoki kiziba ila ninatoka kihanja.........................
mumuone ili iwe nini na yeye kesha waeleza ya kuwa yeye ni mtaalamu wa porojo tu................
nitamsamehe,kwani hakuna aliye perfect.kesho akikuomba msamaha kuwa zote hizi zilikuwa ni porojo atakurudishia baraka ulizomtupia?
ila uwe serious zisiwe porojo,ukimpata usinisahau kunipa feedbackInshaaalwa Kisukari nakushukuru kwa duah lako jema inshaaalwa nitapata aksante.
Hapo kwenye Red mimi umeniacha hoi.Najua kwa hili wengine watasema ohoo mbona alishasema mke wake anamnyanyasa yeye na mtoto wake, na wengine watasema mbona alisema mpenzi wake alipata mpenzi kwenye mtandao akamsamehe na wako wote!
Hizo zilikuwa porojo tu jamani naomba msizikumbuke kabisa kwakuwa sasa niko serious jamani natafuta mwenza wa maisha kutoka humu jf yaani mshenga wangu ni jf, manake nimeona naweza kuzeeka bila kuvaa pete buure!
Zifuatazo ni sifa za mwenza nimtafutaye:-
1. Awe amekwishatosheka na maisha yaani si mtafutaji tena kwa maana nyingine awe ameshatembea (ku do) na wanaume si chini ya mia na kwamba hata kama ameshatumia hata mitandao yote poa tu.
2. Napendelea sana umbo namba 8, mweusi na usafiri wa nguvu, isipokuwa asiwe na nido.
3. Urefu wa angalau kunifikia begani kwani mimi nina futi sita na robo.
4. Kisomo kama anacho hewara kama hana nitamsomesha mwenyewe.
Mimi sina makuu niko kama ninavyonekana hapo kwenye avatar yangu yaani hiyo ni picha yangu kabisa. Pia niko tayari kuvaa pete ya kutoka rohoni kabisa.
Nb: Walevi, wavutaji na wabwiaji wasijihangaishe kuomba tafadhari.
<br />Eiya eiya ngoja nitafakari sema mimi nipo nipo kwanza 3 years utasubiri?
Najua kwa hili wengine watasema ohoo mbona alishasema mke wake anamnyanyasa yeye na mtoto wake, na wengine watasema mbona alisema mpenzi wake alipata mpenzi kwenye mtandao akamsamehe na wako wote!
Hizo zilikuwa porojo tu jamani naomba msizikumbuke kabisa kwakuwa sasa niko serious jamani natafuta mwenza wa maisha kutoka humu jf yaani mshenga wangu ni jf, manake nimeona naweza kuzeeka bila kuvaa pete buure!
Zifuatazo ni sifa za mwenza nimtafutaye:-
1. Awe amekwishatosheka na maisha yaani si mtafutaji tena kwa maana nyingine awe ameshatembea (ku do) na wanaume si chini ya mia na kwamba hata kama ameshatumia hata mitandao yote poa tu.
2. Napendelea sana umbo namba 8, mweusi na usafiri wa nguvu, isipokuwa asiwe na nido.
3. Urefu wa angalau kunifikia begani kwani mimi nina futi sita na robo.
4. Kisomo kama anacho hewara kama hana nitamsomesha mwenyewe.
Mimi sina makuu niko kama ninavyonekana hapo kwenye avatar yangu yaani hiyo ni picha yangu kabisa. Pia niko tayari kuvaa pete ya kutoka rohoni kabisa.
Nb: Walevi, wavutaji na wabwiaji wasijihangaishe kuomba tafadhari.