Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,882
- 2,374
HTML:
Hapana mkuu harwa haina makombo!
Namshangaa sweetlady, maana nijuavyo mimi ni kwamba jinsi inavyotumika sana ndo inakuwa tamu zaidi.
I salute you kwa kuweka hii kama kigezo.
Hapana mkuu harwa haina makombo!
Mtanzania achana nae anipe kibali cha nini wewe acha kuzuga hapa alah lakini ni porojo kama kawaida yako ha ha ha nimecheka kwa laudi speaker
Umesema ukijitetea kwa mtanzania wako kuwa nimekuuzia cheni bandia na umenilipa hela bandia, na kisha unasema ni porojo, sasa nikuweke kundi gani la waliotangaza nia au wapiga porojo?! bahati nzuri nimepata wawili muda huu wameni pm wakiwa wame attach cv zao nataka nizipitie muda huu nione vigezo nawe kama una nia ya kweli leta cv mimi natafuta mwenye vigezo nilivyovitaja tu hapa si vinginevyo.
Mie siku PM.
Nimeachika mara 100
Nina watoo 7
Nina wategemezi 60
Mengine nitamalizia baadae
Naishi Sudan Kusini
Kuwa na wategemezi sijaitaja kama sifa moja wapo wala watoo 7 sijui ni sifa gani hiyo, hapana hauko Sudani uko Kenya naona unavyo ni porojo wewe!
Kwa kuwa amedharua kiti cha mshenga wa JF , napendekeza tumtoe katika list ya wanaohitajika ie. all except Dena AmsiMtanzania achana nae anipe kibali cha nini wewe acha kuzuga hapa alah lakini ni porojo kama kawaida yako ha ha ha nimecheka kwa laudi speaker
Wewe umesema nikupe CV halafu unaikataa tena wewe jamaa bana!!!
Mbona unakuwa na mambo kama mzee fulani hivi wa miaka 120??? Haya bana ngoja nitoke.
BTW: Kenya nilishahama toka Last Month baada ya kupata kazi huko kwenye Nchi mpya.
Ms Dena AmsiNdugu Mtz hujaeleweka ni akina nani tuwatoe?!
<br />Ms Dena Amsi
<br />Hiyo sifa ya kwanza mi hoi.
Ahsante mheshimiwa kwa kuniona, angalau umenitia moyo, hawa wananipondea ile mbaya yaani!Upo very intelligent kukabiliana na wanakuandama kwa uliyoyasema hapo mwanzo, hapo sasa!!, komaa tu mpaka wakuuelewe kwamba sasa si porojo tena, ila kazi unayo mpaka uje uaminike.
<br />
<br />
Ha ha ha Mulama ana vituko mie namwonea huruma. Halafu wewe hebu jibu PM basi naogopa Aine tu asije hapa ha ha na hamu ya Samaki Sato mie kha! Au usharudi Chako ni Chako kwenye kuku? ukimaliza kusoma futa