Naomba experience ya kuishi na mwanamke wa kizungu(from Australia) jamani please naomba sana

Whatsup guys, jamani mimi ni mwanaume mwenye miaka 26 nimepata mwanamke wa kizungu from Australia ananipenda saana mpaka naogopa na pia ananisaidia saana baadhi ya mambo kama kuna kipindi nilipata financial crisis alinisaidia saana.ananipenda saaana ila kiukweli mimi simpendi kivileeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Yeye ana miaka 27 i mean she is real independent woman kiukweli hajawaji jiomba pesa hata siku moja mpaka mimi najishtukia namnunulia vitu ambavyo najua anavipenda saana i cant mention them here iam very sorry

What i ask from you guys ni kwamba experince ya kuishi na hawa watu mbeleni sita kuja kuregret because siwezi kumwacha ananipenda saana napia nimeishi nae mwaka mmoja sasa na sijawahi kumcheat hata siku moja just feeling very guilty kwa the way alivyokuwa ananipenda na kunithamini.

Please naomba ushaurii kutoka kwenu please and please kwa wale wenye wake wazungu na wame wazungu naombaexperince yeni ili nisije kujuta kutokana namaamuzi nilioamua ya kukubali kumuoa nimekuwa nakwepa saana akiniambia ila imebidi nimkubalie twende kwa wazazi wake wako Canada kikazi wanaishi huko Toronto ila ila asili yake ni australia queensland
Don't pretend in Life. Just keep it Truth keep it Real!!!.

Maisha sio Tamthilia.
Live the way you are. Live to the fullest.
Caring Lesa about her nativeness.

Huyo "Ke" akukubali just the way your are. Not because your Tanzanian.

Not because of your nation or Color and so on....

Good newz, uhusiano wenu ni wa Umoja wa mataifa (UN).

Tanzanian vs Australian.
U-Australian wake hauna ishu zaidi ya Love and openness between the two of you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K zao zikoje? Ni za barid kam wanavyodai watu? Jibu kwanz hili

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
msikillize Mungu ndugu yangu, kwake Mungu anaeangalia mioyo na anayetangaza mwisho tangu mwanzo. hutojuta kama ukipata jibu kutoka kwa Mungu wako alie hai. roho yako haijampenda hujui urafiki unaanzia rohoni? kasome biblia yako 1 samweli 18: 1.... roho ya Yonathani na Daudi zilivyoambatana wakawa marafiki. nataka kusema hivi ili urafiki wenu uwe solid ni lazima roho zenu zikubaliane na ziambatane i mean "be one in spirit" sasa kama unataka kuishi kwa furaha kwa nini usimwambie humpendi amtafute atakaempenda? usilazimishe shida katika maisha yako. okey ninaposema umuulize Mungu inawezekana kabisa huyo ni mke wako Mungu aliekupangia ila pia unahitaji msaada wa kiroho maana inawezekana kabisa umefungwa rohoni i mean You have spiritual wife ambaye hataki upate ndoa nae kwa hiyo ni muhimu sana kama ukirudi rohoni uamue vizuri maana naona kama unajilazimisha kitu usichopenda. God help you my broda.
 
Back
Top Bottom