Naomba experience ya kuishi na mwanamke wa kizungu(from Australia) jamani please naomba sana

We ach tu, leo nimeanzishiwa timbwili timbwili kisa kuna mdada wa kazini kwetu kapost picha FB ambazo tulikwenda team building, si aka nitag, kosa ni pale nilipo like picha ambazo nilikuwa zero distance nae tu.

Yani hawa wanawake sijui.................
hizo ndio raha za kuoa watz, pressure inapanda pressure inashuka na mnaenda mpk kifo kitakapowatenganisha
 
Mpende akupendae ndg yangu.hao wanawake wa kibongo unao watamani...utakuja kujuta..tena na hivi unawasifia wazuri..utarudi hapa ukisema unamkumbuka mzungu..ila nahisi shida ni umri wako...26..kwa mwanaume bado una hulka ya kuruka ruka..
Ukifika 30 and above.utaanza kusaka mwanamke mtulivu..mwenye akili hila kuangalia uzuri...sasa hapo ndio utakumbuka mzungu..km ushapata bht ya mzungu anayekupenda.wt else do u want...utachunwa...utabwagwa..utacheatiwa na hao unaosema wazuri
 
hao jamaa hawapendi mambo ya ujanja ujanja. Uwe mkweli na muwazi kwa kila kitu. Endapo utafanya jambo lolote kwa siri siku akigundua hata iwe saa 8 usiku ataenda kutafuta ticket ya ndege. Wanapenda sana michezo hata kombolela na music wanapokuwa nyumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamani guys naomba kuuliza dada zangu hivi kwanini mwanaume akiwa na mwanamke mzungu wanawake wa kibongo tena wakali wanakuwa wanakuja kwa wingi saaana kutaka kuwa nae kwakifupii wanakuwa wanataka saana uwe nao tena wanawake wazuri saaana hiii inatokana na nini au ndio Mungu anakupima
Mbona umeng'ang'ania Sana hili mkuu, au umeanzisha ka thread ili wanawake wa jf waje pm nini? Wewe pambana na mzungu wako bwana na hao wa south kuwa makini na ngoma tuu south

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usijipendekeze, yaani usiwe na love la kioga oga. Uwe muwazi toka mwanzo, na fanya kile unachoweza kufanya. Usimuogope wala kumuona yeye ni wa msaada kwako. Usipende vimisaada saada vyake.
 
Mpende akupendae ndg yangu.hao wanawake wa kibongo unao watamani...utakuja kujuta..tena na hivi unawasifia wazuri..utarudi hapa ukisema unamkumbuka mzungu..ila nahisi shida ni umri wako...26..kwa mwanaume bado una hulka ya kuruka ruka..
Ukifika 30 and above.utaanza kusaka mwanamke mtulivu..mwenye akili hila kuangalia uzuri...sasa hapo ndio utakumbuka mzungu..km ushapata bht ya mzungu anayekupenda.wt else do u want...utachunwa...utabwagwa..utacheatiwa na hao unaosema wazuri
kaka mimi mambo ya kuruka ruka sina habariii nayo kabisa na sina maisha hayo kaka
asante saana kwa ushauri kaka nimeamua kumuoa tuuuuuuuuuu unajua sidhani kama ntapata mwanamke anayenipenda kiasi kile na she is realindependent woman nimeshaamua kumuoa maisha i what you choose very soon ntaoa kak
 
Hawapendi kupelekeshwa kama Wanawake wa kibongo mlowazoea...
Independence comes with its perks...Otherwise all the best...follow ur heart take ur chances
 
Back
Top Bottom