ThanksWote ...........
mkuu kumbuka hela ni kidogo kiasi cha kutatua tatizo moja tu kati ya hayo mawil
Thanks
Afrodenzi hivi waelewa ninavyokuwa happy pale napochat nawe... lov nashindwa kuzuia fikra zangu... your make me happy......Most welcome love....
Afrodenzi hivi waelewa ninavyokuwa happy pale napochat nawe... lov nashindwa kuzuia fikra zangu... your make me happy......
Wah wah Si Utani AD Valentine's day me nilikuwa busy kwa sana tu hata nilipofungua jf nikakuta ndio ishajiishia so nikawa mtazamaji tu kwangu imekuwa kibelated belated tu.Hahahaha acha fujo hizo bana ..
Nipe story za valentine kwanza ..
Mi hiyo avatar yako ndo inanivuta kwako lolz