Nafikiri kama umenielewa mimi naongelea mmiliki wa source mean internet source who is owner is it possible to shutdown??Hakuna mtu anayemiliki internet sababu internet ni mkusanyiko wa computer / servers duniani hivyo basi hata mimi hapa nyumbani na hii server yangu yenye mafaili yangu kuhusu site yangu (mmiliki wa hii site yangu) ni mmoja wapo wa huu muunganiko ila siwezi kusema namiliki internet (mawasiliano ya computer) ila ninamiliki hii site ambayo nayo ni part ya internet
Nafikiri kama umenielewa mimi naongelea mmiliki wa source mean internet source who is owner is it possible to shutdown??
Hivi mpaka wawambie provider???!!!kwani hakuna mahali kuna backbone??je ikifa bado provider watakuwa na uwezo wa net??mathalani nikusaidie hapa backbone haapa anamiliki au kuendesha ni simbanet ndo maana bakiwepo na shida ya fibber net mjini inasumbua inabidi watu atumie satellite dish kwa ajili ya internet sasa hapo imekaaje?Na mimi ndio maana nikasema internet ni yale mawasiliano ya computer tofauti tofauti ulimwenguni.., kinachoweza kufanyika ni kwa nchi husika kuwashinikiza service providers (internet service providers) kuzima mawasiliano mfano Bongo kuwabana wote kina voda, airtel et al ili wasitoe service ya sisi kuweza kuangalia site/internet/websites; lakini ingawa sisi wa Bongo tutashindwa kuangalia lakini huenda JF ikawa bado ipo (kama webhost wake yupo nje mfano marekani) na kuna site nyingine hata information zake hazipo sehemu moja; kuna mirror sites, kwahio hata kama server ya sehemu fulani ikipigwa bomu na kila kitu kupotea kutakuwa bado kuna back up files sehemu nyingine
Hivi mpaka wawambie provider???!!!kwani hakuna mahali kuna backbone??je ikifa bado provider watakuwa na uwezo wa net??mathalani nikusaidie hapa backbone haapa anamiliki au kuendesha ni simbanet ndo maana bakiwepo na shida ya fibber net mjini inasumbua inabidi watu atumie satellite dish kwa ajili ya internet sasa hapo imekaaje?
Internet backbone - Wikipedia, the free encyclopedia[h=3]Egypt[/h] The government of Egypt shut down the four major ISPs on January 27, 2011 at approximately 5:20 p.m. EST.[SUP][10][/SUP] Evidently the networks had not been physically interrupted, as the Internet transit traffic through Egypt, such as traffic flowing from Europe to Asia, was unaffected. Instead, the government shut down the border gateway protocol (BGP) sessions announcing local routes. BGP is responsible for routing traffic between ISPs.[SUP][11][/SUP]
Only one of Egypt's ISPs was allowed to continue operations. The ISP Noor Group provided connectivity only to Egypt's stock exchange as well as some government ministries.[SUP][10][/SUP] Other ISPs started to offer free dial-up Internet access in other countries.[SUP][12][/SUP]
Huwa napata tatizo hasa kujua mmliki halali wa Internet je net inakuwa controlled na nchi gani au mtu gani?
Na mimi ndio maana nikasema internet ni yale mawasiliano ya computer tofauti tofauti ulimwenguni.., kinachoweza kufanyika ni kwa nchi husika kuwashinikiza service providers (internet service providers) kuzima mawasiliano mfano Bongo kuwabana wote kina voda, airtel et al ili wasitoe service ya sisi kuweza kuangalia site/internet/websites; lakini ingawa sisi wa Bongo tutashindwa kuangalia lakini huenda JF ikawa bado ipo (kama webhost wake yupo nje mfano marekani) na kuna site nyingine hata information zake hazipo sehemu moja; kuna mirror sites, kwahio hata kama server ya sehemu fulani ikipigwa bomu na kila kitu kupotea kutakuwa bado kuna back up files sehemu nyingine
Sorry kama ntakua nimeuliza swali la kishamba..
Mkuu hivi hawa service providers let's say Tigo...voda..airtel..smile etc huwa wanazitoa wapi hiyo internet yao...na huko watowako i.e major internet service provider huwa anatoa wapi hizo bites (internet) wat z exactly source of internet...??
Kuna kampuni au nchi ambayo inamiliki internet..?? Ambayo nchi au makumpuni mengine yananunua toka kwake...??
mkuu ukosawa hata sorry haikutakiwa kuomba kwani unawajibu wakujua!Nimependa swali lako.Sorry kama ntakua nimeuliza swali la kishamba..
Mkuu hivi hawa service providers let's say Tigo...voda..airtel..smile etc huwa wanazitoa wapi hiyo internet yao...na huko watowako i.e major internet service provider huwa anatoa wapi hizo bites (internet) wat z exactly source of internet...??
Kuna kampuni au nchi ambayo inamiliki internet..?? Ambayo nchi au makumpuni mengine yananunua toka kwake...??
Nafikiri kama umenielewa mimi naongelea mmiliki wa source mean internet source who is owner is it possible to shutdown??
Sorry kama ntakua nimeuliza swali la kishamba..
Mkuu hivi hawa service providers let's say Tigo...voda..airtel..smile etc huwa wanazitoa wapi hiyo internet yao...na huko watowako i.e major internet service provider huwa anatoa wapi hizo bites (internet) wat z exactly source of internet...??
Kuna kampuni au nchi ambayo inamiliki internet..?? Ambayo nchi au makumpuni mengine yananunua toka kwake...??
Huu ni mfano mfu kwani mwisho wasiku TANROAD Ndo wamiliki wahizo barabara hivyo tunatafuta mmiliki wa Internet hatutaki justification hapa ongelea utaalamu siyo blah blah ila samaani kama nimekuoffend.Walimu wana mbinu zao za kufundisha kulingana na mtu wanayemfundisha, hakuna mbinu moja ambayo ni universal.
Fikiria internet kama mtandao wa barabara kutoka nyumbani kwako kwenda kwa kila nyumba iliyopo duniani, mtandao huo utakuwa na barabara kuu na barabara ndogo ndogo na matawi, zote hizo zinakuwa zimejengwa na kuwa serviced na makampuni mbalimbali, hivyo unatakiwa kulipa kwa kampuni iliyokuunganisha wewe kutoka mlangoni kwenda tawi la kwanza, kutoka pale kuingia tawi la pili kampuni ile itamlipa anayemiliki barabara ile na mfumo unakwenda kwa jinsi hiyo. HAKUNA MMILIKI WA BARABARA HIZO ZOTE KWA PAMOJA, sema kuna sheria za barabarani ambazo zinatumika kuhakikisha usalama.