mamayoyoo
Member
- Jul 11, 2012
- 22
- 10
Ukimtoa Kangi Lugora hakuna mjita mwingine ambae ni mbunge,DC,mkuu wa mkoa,mwenyekiti ktk kada zote kuanzia ngazi ya wilaya,mkoa na Taifa,au niseme kwa cheo cha kuteuliwa.
Mimi hapo real am puzzled.Shida ni nini
mkuu wa mkoa Arusha na steven wasira ni wajita