kipipili
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 1,590
- 183
je kitaaluma wajita wakoje?isije kuwa wao wanashinda kuwinda porini then utegemee wapewe vyeoUkimtoa Kangi Lugora hakuna mjita mwingine ambae ni mbunge,DC,mkuu wa mkoa,mwenyekiti ktk kada zote kuanzia ngazi ya wilaya,mkoa na Taifa,au niseme kwa cheo cha kuteuliwa.
Mimi hapo real am puzzled.Shida ni nini