Mimi sihitaji kuona sura ya mtu ndiyo nimpende, kupenda na kutamani ni vitu viwili tofauti. Kutamani kunahusiana na sura, miguu mizuri, mwanya, makalio makubwa au madogo, maziwa makubwa au madogo, midomo ya denda na vingine vingi tu.Natamani huyu mtu ningemwona kwa macho ndo ningesema kitu manake mhhh usikute........
Mbona unaongea kwa upole hivi FF anawafanyaga nini?
Natamani huyu mtu ningemwona kwa macho ndo ningesema kitu manake mhhh usikute........
faiza ban imeishaKatika kanuni za kuandika kama hujamalizia neno unatumia dots tatu tu. Sasa wewe punguza hizo, zinaonesha kuwa huna darasa la maana...