Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
usanii huu achana nao. Vilaza wawili wamekubaliana waje kupeperushiana bendera. Hivi unaweza kumzimia ff kama hukushauriwa na mganga?!
mweee makubwa haya!!!
usanii huu achana nao. Vilaza wawili wamekubaliana waje kupeperushiana bendera. Hivi unaweza kumzimia ff kama hukushauriwa na mganga?!
Ushachokozwa!!
Hahaha! BB Umenchekesha sana lol.Usanii huu achana nao. Vilaza wawili wamekubaliana waje kupeperushiana bendera. Hivi unaweza kumzimia FF kama hukushauriwa na mganga?!
Ngoja nipite tuu
Ni kawaida mwanaume kwa mwanaume kuongea lolote lakini sio mwanamke especially mwanamke mwenyewe akishavaa ushungi kichwani
Usanii huu achana nao. Vilaza wawili wamekubaliana waje kupeperushiana bendera. Hivi unaweza kumzimia FF kama hukushauriwa na mganga?!
Umemleta wa nini na wewe huku maana ameshafura utadhani nyati kakoswa risasi
Mimi naweza kuwa Kilaza lakini FF unamuonea. Level yake ni juu sana kuliko wengi wetu hata kama sikubaliani naye kwenye mambo mengi!!Usanii huu achana nao. Vilaza wawili wamekubaliana waje kupeperushiana bendera. Hivi unaweza kumzimia FF kama hukushauriwa na mganga?!
Wewe utakuwa ni jini Mahaba unazimikia ajuza!!!!
mweee makubwa haya!!!
Unanikumbusha Cameron.
Samahani kama nimekukwaza, ni mambo ya JF, huwa sikusudii kumuumiza mtu.
Hukunikwaza FF ila ulinishauri jambo zuri sana na ulinisaidia!!shukran dada yangu!!
wewe hujui kwamba wachungaji wanadhani kila kitu ni mapepo!?
Mbona unaongea kwa upole hivi FF anawafanyaga nini?
Kumbe tupo wengi tunaomzimia FaizaFOxy eehhh!! Nilidhani ni mimi peke yangu
Wewe utakuwa ni jini Mahaba unazimikia ajuza!!!!
Mzee wa reverse na Front upo? naona ulipotea, salama huko utokako?