Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
Pepo ushindwe kabisa. Tuondolee balaa hapa kama vijana hawajakupenda mpaka sasa hao waume za watu watakuonaje? Usione chapendeza mke kakigharamia na utakula kwa macho kudadeki, mtam wewe au unakurupuka. Nenda jollyz ndo utawapata wa kukupa ushauri wa kishenzi unaoutaka not here. Nyie ndo mnaopata magonjwa kwa kupenda, ukute libaba la watu linaishi kwa matumaini unataka kumlazimisha akuue SHAME ON U. Usitamani mume asie wako wewe hata amri ya mungu imekataza, Chip.