EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Watakaokupa ushaur wa kumpata,watakua wameshriki kutia doa ndoa ya jiran yako,wewe unataka cha mwenzako kwan wengne hawapo? Mwenzio juz kacharagwa viwembe vya uso,acha tamaa na usikute unalipa tu vizur,ila vitamaa vinakusumbua,au huwa hujisikii mnyegeresho unapokua na bwana mpaka uchukue mume wa mtu? Tena hata husikii uzito kuposti thread kama ii? Just be fair wewe ndo ungekua mkewe af ujue mwanamke mwngne anamtega unge feel aje?
Duh! Kuna mwingine alifekwa titi moja baada ya kukutwa na mume wa mtu.