Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Na wewe usijitie hamnazo, kataja herufi za mwisho za mwenye jina hilo. Mie najua mbinu za wasalandiaji, mwambie asubiri umalize masomo, la sivyo Jela inamtafuta, siwezi kulipa ada kisha nivune mabua.................Anajitia kusema mafumbo. Sisi wazee wa zamani hatufumbiwi kitu tuna extra maili ya kufikiri na kutafakari, kisha tunachukua hatua.......................LOLBaba jaman hata jina la mwanao umelisahu??
Kuna tofauti kubwa kati ya Cantalisia na sia!!!